Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matokeo ya jana ni big failure kwa arsenal kwa sababu nilizotoa awali. Nimesema current form ya United hairidhishi, hali ya majeruhi ya United na current form ya arsenal ambayo ni nzuri kwa sasa

Usibadili hoja yangu kumaanisha kuwa ninapoongelea form ya united, kwamba ninamaanisha kwa msimu huu mzima au miaka hii miwili. Current fomu inaweza kuwa kwa mechi 3,5,10 za hivi karibuni. Kwa hiyo fomu inaweza kubadilika muda wowote

Ingekuwa ninaongelea fomu za mwaka uliopita au miwili iliyopita, Arsenal amenyanyasika sana kwa United.

Kwa hiyo Man Utd haijawahi kushusha kipimo chake cha mafanikio kama unavyotamani iwe. Man Utd amezoea kuchukua Club World Cup, UCL, EPL n.k na hiyo ndio standard yake, that is where it belong regardless of the recent obstacles.

Tayari umehama muktadha wa majadiliano toka mechi ya jana umeingia kwenye Past groly ya United...Watu hawaishi Past Mkuu tunaishi leo...Unaongelea habari za Majeruhi kama Sababu? Hoja Zako dhaifu sana..
Arsenal Pia tuliwakosa, Koschiely,Ozil,Xhaka,Wellbeck,
Monreal,Cech,Mavoparos.

Upo kwenye Denial Mkuu sishangai still unaamini upo level za Top clubs this season...Last interview Mourinho aliulizwa kama atamaliza juu ya Everton..huko ndipo level zenu zilipo sasa.Mnapimwa na Everton now days not likes of Arsenal,Liver,Chelsea..
Huu ni mwaka wa 6 huna EPL ni mwaka wa 11 huna CL Halafu eti umezoea kuchukua..Inawezekana umeona Mara moja tu United akichukua CL..
 
Kitu ambacho ulikuwa haikujui kuhusiana na Matheo Guendouzi dhidi ya Manchester united jana ni kwamba, Uwanja mzima wa old Trafford ulikuwa anamzomea ili kumtoa mchezoni. Moja kati mashabiki ambao wanaamini kuwa Arsenal wana kipaji kizur kupitia Guendouzi ni Manchester united kwa hyo walijua akiwa kawaida atawapatia shida kwenye kuendesha mchezo kwenye eneo la kiungo. Amezomewa sana kiasi kpnd cha kwanza alishindwa kucheza vzr ila baada ya kurejea kpnd cha pili akili yale ilianza kuimarika. Kwa pamoja na yote matheo amecheza kwenye mazingira magumu sana jana akiwa Trafford na ndio maana umeona fellain kaja kufanya tukio ambalo c la kiungwana,ile ilikuwa ndio Tempo mzima Manchester kma walimtageti dogo ili watumie mapungufu yake ya kitokkomaa lkn hata hvyo hawakuwanikiwa sababu cyo kinda la wenger kma walivyozoea!

HII NI UNAI EMERY ERA
IMG-20181206-WA0023.jpeg
 
Man u mnakelele utadhan mmeshinda jana

Wewe mwaka huu unaishia nafas ya 10
Nyie si kutwa mlikuwa mnapost mnakuja kushinda tulikuwa tunawachora tu sababu tunaijua asena8

Sasa tukimaliza wa 10 wewe unaumia nini?
 
Tayari umehama muktadha wa majadiliano toka mechi ya jana umeingia kwenye Past groly ya United...Watu hawaishi Past Mkuu tunaishi leo...Unaongelea habari za Majeruhi kama Sababu? Hoja Zako dhaifu sana..
Arsenal Pia tuliwakosa, Koschiely,Ozil,Xhaka,Wellbeck,
Monreal,Cech,Mavoparos.

Upo kwenye Denial Mkuu sishangai still unaamini upo level za Top clubs this season...Last interview Mourinho aliulizwa kama atamaliza juu ya Everton..huko ndipo level zenu zilipo sasa.Mnapimwa na Everton now days not likes of Arsenal,Liver,Chelsea..
Huu ni mwaka wa 6 huna EPL ni mwaka wa 11 huna CL Halafu eti umezoea kuchukua..Inawezekana umeona Mara moja tu United akichukua CL..
Nimeongelea historia kama kukupa mfano wa kukuelekeza ninapoongelea current form ninamaanisha nini. Anyway, pia kuongelea historia ya mafanikio ni jambo la kawaida, je unaweza kuikataa hadhi ya Juventus, AC Milan, Inter Milan sababu kwa sasa hawafanyi vizuri sana (kwenye UCL na domestic competition)? Jibu ni NOPE.

Mkuu hata jana ni past, lakini leo upo bize kuongelea yaliyotokea jana... Huwezi kutenganisha mpira na past/historia, wake up broo. LAKINI SITASHANGAA WEWE KUKATAA KUZUNGUMZIA HISTORIA YA MAFANIKIO SABABU, YOU HAVE NONE, I repeat Arsena8 have no history to be proud of, that is why u are hiding on the present which is not even great for u. SASA UTAONGELEA NINI IF YOU DONT HAVE IMPORTANT HISTORY?

Man Utd amechukua kombe la UCL miaka 10 iliyopita aonekana amepata mafanikio zamani, kwamba ni wa level za chini, hiyo hoja nyepesi imenifanya niwaze je Bayern mara ya mwisho kuchukua hilo kombe ni lini, vipi yeye ni timu kubwa? Vipi kuhusu Juve? Wait a minute, Arsenal8 mara mwisho kuchukua ilikuwa lini? On their dream may be.

Hoja ya majeruhi imejikita kwenye idadi ya majeruhi lakini wanaocheza katika nafasi hiyo hiyo moja. Unazuga hujaelewa ila ulielewa, anyway ngoja nikueleweshe. United walikuwa na feet defenders 3, yaani Rojo (ambaye hii jana ilikuwa ni match yake ya kwanza kwa msimu huu), Mateo Darmian na Dalot, wote hawa ni second choices may be third choices kwa United. Mabeki wote waliobaki walikuwa majeruhi na wale waliocheza kama, Smalling, Bailly na Valencia (aliyekuwa benchi) walijitolea kucheza through pain, sijui kama unanielewa hapa.

Kusema Arsenal ni level za Liver, Man City, Chelsea na kwamba ipo mbele ya Man Utd is funny, ucheshi ambao kwa miaka mingi Arsenal wamekuwa wakijichekesha. Ki ukweli Arsenal ni timu ambayo nimekuwa nikiionea huruma miaka nenda rudi, can u sympathise with a rival, no we only sympathize with little ones,week ones,poor ones,victim ones..... And that's who you are brother.

Mimi nimeona mara 2 United akichukua UCL, na hata ingekuwa mara 1 sio mbaya. Can you remind me the last time you saw Arsenal winning it? I bet it was in your dream. I feel for u mkuu, I real do.
 
Kitu ambacho ulikuwa haikujui kuhusiana na Matheo Guendouzi dhidi ya Manchester united jana ni kwamba, Uwanja mzima wa old Trafford ulikuwa anamzomea ili kumtoa mchezoni. Moja kati mashabiki ambao wanaamini kuwa Arsenal wana kipaji kizur kupitia Guendouzi ni Manchester united kwa hyo walijua akiwa kawaida atawapatia shida kwenye kuendesha mchezo kwenye eneo la kiungo. Amezomewa sana kiasi kpnd cha kwanza alishindwa kucheza vzr ila baada ya kurejea kpnd cha pili akili yale ilianza kuimarika. Kwa pamoja na yote matheo amecheza kwenye mazingira magumu sana jana akiwa Trafford na ndio maana umeona fellain kaja kufanya tukio ambalo c la kiungwana,ile ilikuwa ndio Tempo mzima Manchester kma walimtageti dogo ili watumie mapungufu yake ya kitokkomaa lkn hata hvyo hawakuwanikiwa sababu cyo kinda la wenger kma walivyozoea!

HII NI UNAI EMERY ERAView attachment 957959
Kuzeni kipaji the likes of Man United (rejea Van Persie, Sanchez,), Barca (rejea Fabregas) waje wamchukue

Hongereni kwa kukuza vipaji
 
Emery on United's first goal - Was it offside?

I know VAR is coming, when it’s coming it can equalise something like these difficult decisions.
I know maybe he was offside, but it was very difficult.
I think the referees decision is not important today for the result.
IMG-20181206-WA0012.jpeg
 
Timu unayoweza kuifunga ni spurs tu toka wenger aondoke kipi kimebadilika? Kushika nafasi ya 5???
Sawa...Ferguson ndio ameacha laana kabisa. Makocha watatu wote wameshindwa kuisimamisha team. Afadhali Unai miezi saba tu kuna angalau mwanga kidogo. Mouriho akiona kivuli cha Ferguson Trafford confidence kwishei....
 
Rio na Scholes wanamlaumu kuwa hawezi kucheza easy passes. Eti aanapiga passes zenye intensity ya kibali wa yard 30 kwenye distance ya yard 10. Jamaa wale km wana wivu.
Nimewasikia. Wapo kama wanataka wabaki wao ndio wabaki kuwa wachezaji bora waliowahi kucheza pale united

Kuna Paul white alikuwa anamponda sana Paul black, Jose akamchana kwamba is Pogba's fault that he is paid several times than him (scholes) .... Kwamba pengine Paul white anauonea wivu mshahara anaolipwa Paul black
 
Back
Top Bottom