Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Herreraaaaaaaaaaaaaaaaaa sisi 2 wao 2
Herera yuko poa sana leo, Rashford nae katisha sana leoHerrera Leo mhh amekuwa mcharo
Ata Captain YoungHerera yuko poa sana leo, Rashford nae katisha sana leo
Sijui kwanini anawekwaga benchiTominay yuko vizuri sanaaaa.naombea awe anacheza mechi zote.
Tatizo kocha ana kikosi cha kwanza ndio maana wachezaji wanakosa kujiamini.Sijui kwanini anawekwaga benchi
Ni kweli pamoja na kushuka kiwango, kaiokoa sana man u ,anaiokoa man u kwenye mazingira hatarish,Degea hayupo kwenye form sawa na misimu 3 ya nyuma. Hali yake inaigharimu hata timu ya taifa ya Spain.
Wafungwe ndio watajifunzaToeni draw au mfungwe, mkae huko huko mafichoni


hii mashine aliyopiga redmond mou cjui km hakujamba pale
Unasemaje?HABARI ZENU?