Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatushindwi kumuendeleza, ni mmoja ya wachezaji wamecheza mechi nyingi msimu huu lakini hakuna chochote alichofanya.
Nadhani namna ya Mwl anavyohandle situations wachezaji wanapokosea ndio inazua mlolongo Wa mchezaji kutojiamini na kucheza hovyo kwa muda mrefu
 
Hata viungo hakuna wanachocheza Rashford ni anautoto mwingi ...hakuna tunachocheza
 
Manchester United hii haina mechi rahisi tena hata mkicheza na Dynamo ya Shelisheli mechi itakuwa ngumu tu
NAWAKUMBUSHA TU
 
Back
Top Bottom