Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli pamoja na kushuka kiwango, kaiokoa sana man u ,anaiokoa man u kwenye mazingira hatarish,

Bila degea sasa hiv amin usiamin either man u angekuwa na kina fulham , au mou asingekuwa kocha wa man u

Utashangaa na Manchester hii mbovu wewe aseno unapigwa vizuri Tu
 
Namuonea huruma de gea na mashabiki wanaonunua tiket za msimu mzima bora sisi huku tunaumia ila hela hatuliw
Tunalipia dstv inauma pia. Leo nilitaka kuvunja kiuno kwa ajili ya kurekebisha dish ili nisikose mechi matokeo ndio hayo.

Hivi Mou aoni aibu akiangalia Manchester City inavyocheza?. Na timu yake ilivyo
 
Tunalipia dstv inauma pia. Leo nilitaka kuvunja kiuno kwa ajili ya kurekebisha dish ili nisikose mechi matokeo ndio hayo.

Hivi Mou aoni aibu akiangalia Manchester City inavyocheza?. Na timu yake ilivyo
Hahaaaa
 
Tunalipia dstv inauma pia. Leo nilitaka kuvunja kiuno kwa ajili ya kurekebisha dish ili nisikose mechi matokeo ndio hayo.

Hivi Mou aoni aibu akiangalia Manchester City inavyocheza?. Na timu yake ilivyo
Kitendo cha kuwaza kumchezesha fellain na matic nyuma kidogo ni uchizi uje scott sijui alikuwa anacheza wapi looo young anacheza 2 rojo anakaa bench huu utani
 
Ashely young ana yellow kadi 5 ataukosa mchezo vs Arsenal

Hii game , lazima Mfe , manaa huyu young huwa anajitahid kupiga kross za kutosha

Sasa kukosekana kwake, means Darmian atacheza ,
 
Ashely young ana yellow kadi 5 ataukosa mchezo vs Arsenal

Hii game , lazima Mfe , manaa huyu young huwa anajitahid kupiga kross za kutosha

Sasa kukosekana kwake, means Darmian atacheza ,
Hahahahahaha hapa ndo utajua wenda wazimu wa mashabik wa arsenal wakat sisi tunajiuliza lini huyu mzee atasepa kumbe mnamuwaza si ajabu tuliwauzia silvester
 
Umesahau sasa ni zama za Konk.konk...konk.emery

Mashabiki wengi wa aseno mnaugonjwa wa akili, kwa unavyofikiri utapata ushindi kabisa kwanza unaanza kufa kesho na Tot then unakufa na timu iliyojifia united
 
Back
Top Bottom