Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimekoma kumtetea Mou, kuanzia Leo naungana na wanaomtaka aondoke. Tena aondoke mapema sana, hatutapata mafanikio chini yake. Wachezaji hawamtaki, hakuna namna.
Ahh Pole Sana ndio kocha wetu anajenga timu tustahamili tu
 
Jumatano , nakuja hapo OT kumfukuzisha rasmi kaz mou

Wale waliobet Mou hafik x mass, mkeka unapumua
 
Kwa mshabiki yoyote wa hii team anaesema itachukua ubingwa wa Epl ,anyooshe kidole juu na kama anabisha afanye kama anajikuna
 
Nimekoma kumtetea Mou, kuanzia Leo naungana na wanaomtaka aondoke. Tena aondoke mapema sana, hatutapata mafanikio chini yake. Wachezaji hawamtaki, hakuna namna.
Pole mkuu

Kiukweli sometime na yeye mwenyewe anajisababishia watu wam mind. Angalia kikosi alichopanga, hiyo midfield hivi kuweka Herrera, Pogba na Fred inamshinda nini?

Fellain anafaa kama impact sub na sio kuanza. Pia Matic inabidi apumzishwe yaani kila mechi anachezeshwa yeye
 
Back
Top Bottom