Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo tunamshukuru refa kwa kutubeba na mbeleko ya chuma mwanzo mpaka mwisho, maana aibu ya kufungwa tatu ingetukumba tena.

Nashukuru wewe umekubali manake wengine hawataki kukubali kuwa wamebebwa...
 
Kama ulikua unaombea mpira uishe baada ya goal la pili ujue timu yako mbovu! That 2nd half was like 2 hours to you guys. Hamtafika mbali kwa mwendo huu! Kimoyomoyo mnanielewa ila for the sake of kujipa moyo endeleeni kutokwa povu hapa!

Hatutofika kwamba kwanza kwenye EPL tupo nafasi ya ngapi na wewe timu yako unayo support ipo nafasi ya ngapi??acha ushabiki na angalia mpira unavyochezwa basi itakuwa enough hiyo ya kusema hatutafika mbali tumshaizoea tayari......
 
sport-manu2_1434608a.jpg
 
Chelsea,Arse8,Manu,Liva,City et all wanabebwa au mnataka tuanze kutaja matukio
 
Hapana mkuu atakosa mechi tatu, Carling Cup semi-final with Liverpool,Premier League games against Wigan na Tottenham,endapo ata appeal na kushindwa hapo atakosa mechi nne.
nimesoma BBC wameandika kwamba "And, chances are, the following three games after that(liverpool game) with it being the defender's second red of the season."
Kama ingekuwa ni ya kwanza kwa msimu basi angekosa mechi tatu
 
Kama ulikua unaombea mpira uishe baada ya goal la pili ujue timu yako mbovu! That 2nd half was like 2 hours to you guys. Hamtafika mbali kwa mwendo huu! Kimoyomoyo mnanielewa ila for the sake of kujipa moyo endeleeni kutokwa povu hapa!
Hiki ni mojawapo ya kikosi kibovu cha Manu but ndio kilikupiga goli 8 hicho kikosi chako bora
 
Hiki ni mojawapo ya kikosi kibovu cha Manu but ndio kilikupiga goli 8 hicho kikosi chako bora

Hahahahaha nimecheka sana mkuu lol,ila umesema ukweli kabisaa,hawakumbuki hivyo wenyewe wanaangalia tu sasa hivi
 
Chelsea,Arse8,Manu,Liva,City et all wanabebwa au mnataka tuanze kutaja matukio

Inabidi kuweka na matukio mkuu ila wakibisha zaidi tunabebwa tutawaweke hapa na video pia tutaweka....
 
Jambo la msingi ni kuwa kwenye soka pesa is not everything...........ManCity wasifikiri pesa ndio mpira........na wataendelea kupoteza games kwenye EPL........watch

The Gunners wana matatizo ya pumzii............wanacheza vizuri sana isipokuwa hawawezi ku-maintain ule uchezaji wao......

Wacha1
umemuona rafiki yako Scholes karudi?

Juzi niliangalia mechi ya ManU and ManCity (enzi za akina Cantona, Steve Bruce, Cole and the like).......imagine SAF alikuwa Manager kipindi kile hadi leo.........wale walikuwa Red Devils kweli kweli..........

Anyway.........Mashetani hongereni kwa ushindi wa leo ......noisy neighbours walikuwa wanalia uwanjani leo........

Amecheza uzuri sana kwa timu yenu. Vipi chacha wamekubali wewe Manure? Au bado wanawewesekaweweseka.
 
mnabahati sana nyinyi,ile ilikua ni bahati tu,like it or not!!
 
Angalau mmepata kifutia jasho mligalagazwa sana. Chacha mlikumbuka kubakisha bahasha kwa mechi zinazokuja?
 
Welcome back Paul Scholes, i badly missed u! Congrats man utd fans, no matter what we are the big club and we deserve to win this game after two consecutive losses. That's a clear message to the haters, our squad is not good bt stil we can cause trouble even inside big fish's home!
 
Back
Top Bottom