Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Man u haifungi magoli siyo kwa sababu ya ubora wa wapinzani bali kwa sababu ya kujikaba yenyewe.Hajawahi sema yeye ndo chanzo cha kufungwa hata baada ya kumuanzisha Fellaini game ya city alisingizia eti tumechoka.....
Sijui board inawaza nini ila msimu ujao naona tunaenda Europa... Pia tunashindwa kuonesha movement za kutafuta goli sisi tukianza kurukaruka basi ndo dakika zote... Mou anatuongezea mzigo tu, tuchukue kocha mwingine apewe uhuru na director asimamie vizuri usajili na mikataba plus academy players....
Jana timu ilikuwa inacheza bila malengo yoyote kila mtu alikuwa na ambition zake timu nzima imechoka kimwili na kiakili.
Tukiendelea hivi kwenye chrismass tutakuwa kwenye relegation zone