Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeap! Natamani tuanze kwa kufurahi, tuitakie Kheri timu pengine nasi tutapiga mtu mkono. Goal difference yetu ni mbovu mno, hivyo hatuhitaji ushindi tu bali ushindi mkubwa.
Sina kumbukumbu ni lini tulishinda 5 baada ya ferguson..

Lakini Lets hope tutaimarika sina zijazo
 
Hizo fullbacks duuh, dalot hata sub hayupo(au ni injury?), matic na lukaku kama kawaida.
Screenshot_20181124-170701.jpg

Anyway, GGMU
 
I think pogba anaakiwa acheze mbele kidogo sio nyuma kama hivi anasaidiana na matic.

Kule mbele tunakosa creactivity kabisaa. Hakuna pas za maana. Hakuna mashambuliz ya maaana.

Kati acheze fred na matic kisha pogba awe free
 
Back
Top Bottom