People forget that Evans was also red carded in that 6-1 Man City win...This is soccer and unexpected things happen..People win people lose...Man United won today..Congrats United..
Nope.......Mimi nilitaka mshinde(sio kwa kubebwa), ndio maana hata kwenye post yangu ya kwanza hapa leo nimeandika 'Kila la heri Man Utd' na si 'Kila la heri Man City'
Haya mkuu nikusahihishe umeona mahojiano ya Mancini kuhusu hii Red Card umeona wamemuuliza amejibu nini??sisi wa mtaani ndio tunasema Red Card fatilia alafu tuambie amesemaje walivyomuuliza kuhusu hiyo Red Card
Haya mkuu nikusahihishe umeona mahojiano ya Mancini kuhusu hii Red Card umeona wamemuuliza amejibu nini??sisi wa mtaani ndio tunasema Red Card fatilia alafu tuambie amesemaje walivyomuuliza kuhusu hiyo Red Card