Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I get a funny feeling he'll be able to run faster now.
FB_IMG_1542728827894.jpeg
 
PTER hayo yote ulioyazungumza kwa njia ya maandishi yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.
lakini kwa uoni wako unadhani ni mwanadamu yupi mwenye damu ya manchester united ambaye unadhani anaweza kutusogeza mbele wakati huu wa mkwamo wa kujitakia?
 
Akicheza na bailly naona mourinho anamfanyia kusudi ed woodward
majeruhi yamemuathiri marcos rojo kwenye maisha yake ya soka, halafu mourinho ana tabia ya kuchunukwa na mchezaji tofauti na SAF ambaye alikuwa ni muumini wa rotation squad, fikiria inafika mechi ya tano kwenye ligi kuu hajampa nafasi eric bailly na jamaa hana tatizo lolote la kiafya.
hata nyakati zile za combination ya bailly na rojo au jones alikuwa anawasahau smalling na lindeloff.
kwenye eneo la midfield hivyo hivyo anawasahau herrera na wenzake.
na mchezaji unapomweka benchi mara kwa mara unampotezea kujiamini na kumfanya aonekane useless.
nyakati za SAF hata ukimkuta ferdinand anacheza pamoja na smalling au evans pressure ilikuwa ni ya kawaida hata kama adui ni didier drogba.
rotation system ina faida kubwa sana kwenye timu kuliko hasara zake kwa uoni wangu.
mfano mwengine waangalie man city leo hii kelvin de bruyne hayupo kwenye kikosi lakini bernardo silva amerithi nafasi yake kwa umahiri mkubwa.
 
majeruhi yamemuathiri marcos rojo kwenye maisha yake ya soka, halafu mourinho ana tabia ya kuchunukwa na mchezaji tofauti na SAF ambaye alikuwa ni muumini wa rotation squad, fikiria inafika mechi ya tano kwenye ligi kuu hajampa nafasi eric bailly na jamaa hana tatizo lolote la kiafya.
hata nyakati zile za combination ya bailly na rojo au jones alikuwa anawasahau smalling na lindeloff.
kwenye eneo la midfield hivyo hivyo anawasahau herrera na wenzake.
na mchezaji unapomweka benchi mara kwa mara unampotezea kujiamini na kumfanya aonekane useless.
nyakati za SAF hata ukimkuta ferdinand anacheza pamoja na smalling au evans pressure ilikuwa ni ya kawaida hata kama adui ni didier drogba.
rotation system ina faida kubwa sana kwenye timu kuliko hasara zake kwa uoni wangu.
mfano mwengine waangalie man city leo hii kelvin de bruyne hayupo kwenye kikosi lakini bernardo silva amerithi nafasi yake kwa umahiri mkubwa.
Kwenyw rotation mkuu umeongea ukweli jamaa toka akiwa chelsea yupo hivyo sijui nini anaogopa sir alex alikuwa akifanya rotation sana had wachezaj wanaimarika hadi evans alikuwa akicheza na vidic au rio.
 
Kwenyw rotation mkuu umeongea ukweli jamaa toka akiwa chelsea yupo hivyo sijui nini anaogopa sir alex alikuwa akifanya rotation sana had wachezaj wanaimarika hadi evans alikuwa akicheza na vidic au rio.
ukifundishwa na jose mourinho muda wote unatakiwa uwe upande wake kuanzia kiwango chako na nidhamu yako,ukijisahau kidogo unaweza ukapotea kisoka.
  • pale madrid waliokuwa wakibadilishana nafasi walikuwa ni pepe,varane, marcelo na coentrao.
  • pale inter milan walikuwa ni chivu na matterazzi
 
PTER hayo yote ulioyazungumza kwa njia ya maandishi yana ukweli kwa asilimia kubwa sana.
lakini kwa uoni wako unadhani ni mwanadamu yupi mwenye damu ya manchester united ambaye unadhani anaweza kutusogeza mbele wakati huu wa mkwamo wa kujitakia?
Nafikiri Giggs anaweza kutupeleka mahali japo hana experience kubwa. Guardiola aliweza kupewa team na akafanya makubwa vivyo hivyo kwa Dimateo alifanya vizuri.

Man u inahitaji insider wa kuinyanyua au kocha mwenye vision ambaye kama pochetino au Jardim
 
majeruhi yamemuathiri marcos rojo kwenye maisha yake ya soka, halafu mourinho ana tabia ya kuchunukwa na mchezaji tofauti na SAF ambaye alikuwa ni muumini wa rotation squad, fikiria inafika mechi ya tano kwenye ligi kuu hajampa nafasi eric bailly na jamaa hana tatizo lolote la kiafya.
hata nyakati zile za combination ya bailly na rojo au jones alikuwa anawasahau smalling na lindeloff.
kwenye eneo la midfield hivyo hivyo anawasahau herrera na wenzake.
na mchezaji unapomweka benchi mara kwa mara unampotezea kujiamini na kumfanya aonekane useless.
nyakati za SAF hata ukimkuta ferdinand anacheza pamoja na smalling au evans pressure ilikuwa ni ya kawaida hata kama adui ni didier drogba.
rotation system ina faida kubwa sana kwenye timu kuliko hasara zake kwa uoni wangu.
mfano mwengine waangalie man city leo hii kelvin de bruyne hayupo kwenye kikosi lakini bernardo silva amerithi nafasi yake kwa umahiri mkubwa.
Nakumbuka Jone Evans mechi yake ya ushindani alicheza pamoja na Vidic dhid ya Chelsea na man u walishinda 3 na hakukuwa na pressure yoyote
 
majeruhi yamemuathiri marcos rojo kwenye maisha yake ya soka, halafu mourinho ana tabia ya kuchunukwa na mchezaji tofauti na SAF ambaye alikuwa ni muumini wa rotation squad, fikiria inafika mechi ya tano kwenye ligi kuu hajampa nafasi eric bailly na jamaa hana tatizo lolote la kiafya.
hata nyakati zile za combination ya bailly na rojo au jones alikuwa anawasahau smalling na lindeloff.
kwenye eneo la midfield hivyo hivyo anawasahau herrera na wenzake.
na mchezaji unapomweka benchi mara kwa mara unampotezea kujiamini na kumfanya aonekane useless.
nyakati za SAF hata ukimkuta ferdinand anacheza pamoja na smalling au evans pressure ilikuwa ni ya kawaida hata kama adui ni didier drogba.
rotation system ina faida kubwa sana kwenye timu kuliko hasara zake kwa uoni wangu.
mfano mwengine waangalie man city leo hii kelvin de bruyne hayupo kwenye kikosi lakini bernardo silva amerithi nafasi yake kwa umahiri mkubwa.
Kilichomponza Bailly, mechi 2

Mechi Brighton na mechi ya Newcastle

He had his chance. Tungekuwa bado tuna FA tungesema apewe mechi za FA ili arudishe confidence iliyopotea. Unless tusubiri Carabao Cup ili apewe nafasi.

After all, at least Smalling na Lindelof wameonesha stability pale nyuma (ANGALAU)

Nadhani Mourinho inabidi awaamini zaidi Mata, Herera na Fred (awape mechi nyingi zaidi)
 
Kilichomponza Bailly, mechi 2

Mechi Brighton na mechi ya Newcastle

He had his chance. Tungekuwa bado tuna FA tungesema apewe mechi za FA ili arudishe confidence iliyopotea. Unless tusubiri Carabao Cup ili apewe nafasi.

After all, at least Smalling na Lindelof wameonesha stability pale nyuma (ANGALAU)

Nadhani Mourinho inabidi awaamini zaidi Mata, Herera na Fred (awape mechi nyingi zaidi)
Mkuu kwa nondo unazoongea zinaniumiza sana Tani unaweza Dhani kocha kaanza kufundisha soka msimu uliopita... He is not confident not good for us i guess
 
Mkuu kwa nondo unazoongea zinaniumiza sana Tani unaweza Dhani kocha kaanza kufundisha soka msimu uliopita... He is not confident not good for us i guess
Mkuu wote tuna hasira, tunatakiwa kuwa na uvumilivu tu

Pale United tatizo ni kubwa zaidi ya kocha. Makocha 2 na huyu aliyepo ni wa 3 lakini bado timu haifanyi vizuri. Hilo tu linapaswa kutuonesha tatizo lilipo pale ni zaidi ya kocha.

Tena kati ya hao makocha 3, huyu wa sasa ndio amepata mafanikio kuliko wenzake
 
Back
Top Bottom