radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Depay kapotea?Na ya depay na Cr7 ilishia wapi mkuu?
Depay kapotea?Na ya depay na Cr7 ilishia wapi mkuu?
PovuJamaa...ndio nisiowapenda kabisa, hasa mnapoanza kumtaja web, hivi katika akili ndogo tu, mafanikio ya man utd huko nyuma ilikuwa upendeleo unadhani, akili ya kitoto Sana. Na je makocha wanaochemsha, unadhani tatizo lipo kwa Nani? Ushabiki huu kwenye mabanda ya video tunawanyamazia tu, hapa kwa Thinkers huwezi andika upupu Kama huo.
Amewapa nini Man u 😂Depay kapotea?
Huyu jamaa ni lile kundi lililokosa hoja huwa wanatafuta kichaka cha kijifichia muulize fainali ya moscow kati ya chelsea na united refa alikuwa web?Jamaa...ndio nisiowapenda kabisa, hasa mnapoanza kumtaja web, hivi katika akili ndogo tu, mafanikio ya man utd huko nyuma ilikuwa upendeleo unadhani, akili ya kitoto Sana. Na je makocha wanaochemsha, unadhani tatizo lipo kwa Nani? Ushabiki huu kwenye mabanda ya video tunawanyamazia tu, hapa kwa Thinkers huwezi andika upupu Kama huo.
Kdb unamkumbuka?Amewapa nini Man u![]()
Halafu mbana unapenda kuweka vi emoj vya kucheka cheka una ugonjwa gani?Amewapa nini Man u![]()
Si unaona sasa mmeanza kumuweka Martila na Hazard meza moja... Huu ni aina gani ya ugonjwa tafadhari 😂Wataumia sana hapo hao nzi walitegemea wakija hapa wakute takwimu za hazard na aguero mkuu unatafuta vita
Takwimu ni ubora hivi nyie mnajua mpira kweli?Si unaona sasa mmeanza kumuweka Martila na Hazard meza moja... Huu ni aina gani ya ugonjwa tafadhari![]()
Halafu mbana unapenda kuweka vi emoj vya kucheka cheka una ugonjwa gani?
Ndiyo, aliipeleka Bergium nusu fainali ya World cup wakiwa na Lukaku 😂Kdb unamkumbuka?
Memphis Depay - Memphis arrived at Old Trafford from PSV with a huge reputation but never made his mark. Jose Mourinho sold him to Lyon in January 2017 but United inserted a buy-back clause in the deal. The Dutchman has impressed for the Ligue 1 club, scoring 33 goals and notching 31 assists in 86 appearances.Ndiyo, aliipeleka Bergium nusu fainali ya World cup wakiwa na Lukaku![]()
Wewe unanijua? Mnaonesha mapungufu sana ya akiliNa wewe uyemuweka mwanaume mwenzio kwenye avatar tukuchukuliaje?
Siku ile nilikuletea hapa takwimu za Jorginho dhidi ya midielfield wengine akiwemo matic na pogba uliruka hapa 😂😂 lkn leo takwimu zina value... Mashabiki wa man u mnasumbukiwa na ugonjwa gani 😂Takwimu ni ubora hivi nyie mnajua mpira kwelu?
New RonaldoMemphis Depay - Memphis arrived at Old Trafford from PSV with a huge reputation but never made his mark. Jose Mourinho sold him to Lyon in January 2017 but United inserted a buy-back clause in the deal. The Dutchman has impressed for the Ligue 1 club, scoring 33 goals and notching 31 assists in 86 appearances.
Nilikuambia sio za kweli? Zile ni takwimu za kupiga pass si za uboraSiku ile nilikuletea hapa takwimu za Jorginho dhidi ya midielfield wengine akiwemo matic na pogba uliruka hapalkn leo takwimu zina value... Mashabiki wa man u mnasumbukiwa na ugonjwa gani
![]()
Exactly.New Ronaldo
Kuwa juu si ajabusi ndo nashangaa ulishindwa kuwanyoa wale watoto pale darajani... Sasa napata tabu pale ambapo watoto wako juu akaf wakubwa wako nafasi ya saba, nane nane huko.....
![]()
😂😂😂Halafu mbana unapenda kuweka vi emoj vya kucheka cheka una ugonjwa gani?
Huyo mpira hajui tulia hadi mwez nne atakuja kutuambia hapaKuwa juu si ajabu
Alaves na Espanyol wapo juu ya Madrid, lakini bado watabaki kuwa watoto tu wa Madrid