Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Elewa kuna kitu kinaitwa Form mkuu..lingard kwa sasa bado hajarudi mchezoni.Lingard bado yupo vizuri zaidi ya dogo Rashford
Movement zake uwanjani zinawapa space akina Sanchez et. al.
Lakini pia ni mchafuaji wa mipango ya mpinzani (kwa City ndio atafaa zaidi sababu wanaabudu kumiliki mpira)
Dogo Rashford anacheza vizuri akitokea sub. Halafu united huwa hawachezi vizuri siku Dogo Martial na Rash wakianza pamoja, kwanza wote wachoyo na utoto juu
