Vipi leo mkuu??You need it
Toa Sanches weka LikakuDe Gea
Young Lindelof Smalling Shaw
Herrera Matic Pogba
Rashford Sanchez Martial
Super subs: Juan Mata Garcia,Fellaini,Fred.
√ Japo Matic hachezi vizuri,kwa sasa hana mbadala,tena ukiangalia na tempo ya gemu kama ya leo.
√ Rashford over Mata sababu Mendy speed hana na ana poor marking,so Rashford eneo hilo ni mzuri zaidi.
GGMU
Hahahah nawatakia matokeo watakayoyapata Fulham.Vipi leo mkuu??
Kuna utabiri wowote??
We lukaku wa nn!! Ni lizito kama gunia la mawe lingese lileToa Sanches weka Likaku
Serious??..jamaa limecheza gemu nane bila hata ya goli huku wenzake kina martial mechi nne tu goli tano..Toa Sanches weka Likaku
Kwingine nakubaliana na wewe lakini kwa Rashford kuanza mbele ya Lingard natofautiana na weweDe Gea
Young Lindelof Smalling Shaw
Herrera Matic Pogba
Rashford Sanchez Martial
Super subs: Juan Mata Garcia,Fellaini,Fred.
√ Japo Matic hachezi vizuri,kwa sasa hana mbadala,tena ukiangalia na tempo ya gemu kama ya leo.
√ Rashford over Mata sababu Mendy speed hana na ana poor marking,so Rashford eneo hilo ni mzuri zaidi.
GGMU
Hahahahaha nategemea kuna kuweka msiba kwenu Leo mkuu.Hahahah nawatakia matokeo watakayoyapata Fulham.
Kwingine nakubaliana na wewe lakini kwa Rashford kuanza mbele ya Lingard natofautiana na wewe
Rashford aanze benchi, aingie baadae kulingana na trend ya mchezo
Hahahahaha nategemea kuna kuweka msiba kwenu Leo mkuu.
Lingard yupi??..huyuhuyu aliyetoka injury na kucheza gemu ya Juve kwa kiwango cha chini kabisa na Jose akamtoa kipindi cha pili??!!Kwingine nakubaliana na wewe lakini kwa Rashford kuanza mbele ya Lingard natofautiana na wewe
Rashford aanze benchi, aingie baadae kulingana na trend ya mchezo
Mkuu On Baily's day Smalling huwezi mtakaHivi hamna beki mwingine isipokuwa Lindelof na Smalling?
Lindelof huwa namfananisha na Christensen wa Chelsea.
Lindelof ni beki mzuri sana, ila anahitaji kuaminiwa na kupewa mudaHivi hamna beki mwingine isipokuwa Lindelof na Smalling?
Lindelof huwa namfananisha na Christensen wa Chelsea.
Lindelof ni beki mzuri sana, ila anahitaji kuaminiwa na kupewa muda
Angalia record yake pale Sweden utakubali ninachokueleza
Lingard bado yupo vizuri zaidi ya dogo RashfordLingard yupi??..huyuhuyu aliyetoka injury na kucheza gemu ya Juve kwa kiwango cha chini kabisa na Jose akamtoa kipindi cha pili??!!
No ni mzima ila sometime anacheza bila kutumia akili, nguvu na juhudi ni nyingi kuliko akiliOoh hivi baily ni majeruhi eeh?