Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahaha. Mkuu mgonjwa ndiyo anaamka kitandani hivyo.
Huwezi amini
 
Nimekuja nakimbia uwiii nahemea juu juu tu!!!,huu umama kazi kweli embu nihadithieni nini kinaendelea mtaani huku nasikia tu Man United konk konk!!!!
Boss pole, hahhaha ukonk umetamalaki kwa MOUH... Ilipigwa comeback ya kihistoria... Na MOUH alivyojeuri akawapa ishara kuwa SIWASIKII as alikuwa anazomewa na mashabaki... Ronaldo nae anasahau UTD imemlea hadi kufika hapo alipo anatuoneshea 6 packs
.... Yote kwa yote jana vijana wamejihakikishia kuvuka next level... Na iman kwa Young Boys kuna 3 points pale... Kaz ipo kwa Valencia walau wakaze sare then kilaini mtoano.
 
Kama hiviiiiiii....
Ila nataka kujua..mlirudi makwenu usiku ule ule auu?
Maana siyo namna mlivyojipanga na majembe ya kuchimba kaburi.
Nasikia kuna mgonjwa mwingine mahututi anaweza akaaga dunia wiki ijayo tukaona ni vyema kuunganisha msiba ili kupunguza gharama za kwenda na kurudi Haa ha, huyu mgonjwa nina uhakika lazima atafariki. Haiwezekani tuingie hasara ya maturubali na vyakula na majirani tumeshachangisha michango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…