Warau kwa kuanza kuanzia hapo. Lakini nadhani in long run tunahitaji namba 6Tunahitaji fowadi mmoja matata beki namba 2 mzuri na beki wa kati 3 ambaye ni mtata na kiongozi/leader
Warau kwa kuanza kuanzia hapo. Lakini nadhani in long run tunahitaji namba 6Tunahitaji fowadi mmoja matata beki namba 2 mzuri na beki wa kati 3 ambaye ni mtata na kiongozi/leader
Aaaha, kikosi chote kilikuwa defence, ukiacha wachezaji wawili tu.Hapa arsenal hakuchomoka
Leo ktk historia ndipo sir alex alianza kazi ya ukocha ndani ya manchester united
View attachment 923683
Noma sna mkuuAaaha, kikosi chote kilikuwa defence, ukiacha wachezaji wawili tu.
kama kuna mchezaji cmpendi man basi ni ashley young.....ila anabahat na kila kocha anaekuja...
Liverpool habari zao tunazo
Ana bahat y kuendan na mifumo ya spid tu na ndio makocha wa man u eote wako hivyokama kuna mchezaji cmpendi man basi ni ashley young.....ila anabahat na kila kocha anaekuja...
Huwa anajitahidi, sema comparatively na watu kama Marcos Alonso au Bellerin bado sana
Ana bahat y kuendan na mifumo ya spid tu na ndio makocha wa man u eote wako hivyo
Zama zake zimeisha..ashatumika sana kwenye hiyo nafasi na impact yake ikawa ni ndogoYoung ni winga mzuri sana hana mbwembwe ni kutupia tu cross kama angetumika vizuri hasa na 11 naamini Lukaku angekuwa na kazi rahisi sana ya kufunga
lukaku sio matata mkuu?Tunahitaji fowadi mmoja matata beki namba 2 mzuri na beki wa kati 3 ambaye ni mtata na kiongozi/leader
lukaku sio matata mkuu?