everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Niko mzima kabisa kaka sijui wewe!!!Mrembo bukheir weye?
Niko mzima kabisa kaka sijui wewe!!!Mrembo bukheir weye?
Namshukuru mungu tupo salama wacha tuwe na subra hiyo January kama tutapata mkoba wa kutatua tatizo la beki wa katiNiko mzima kabisa kaka sijui wewe!!!
Namshukuru mungu tupo salama wacha tuwe na subra hiyo January kama tutapata mkoba wa kutatua tatizo la beki wa kati












kinacho uzi Lukaku anaanza kila mechi huyu hapati nafasi hiyo.Martial ni mfungaji goli zake ni ngumu mno.View attachment 914423View attachment 914424
Utofauti ni kwamba Madrid wanafukuza kocha na mambo yataenda vizuri.Real Madrid
14 points
14 goals scored
14 goals conceded
Balanced diet.
Manchester united
Goals scored
Goals conceded
Points
Another balanced diet
Madrid and United
Wee jamaa unaandikaje neno "weye?!"Mrembo bukheir weye?
Mkuu hapa kinachotafutwa ni project nzur ya timu msingi wa timu tukifukuza kocha na hali tuliyonayo hatuwez kupiga hatua mwache ajaze wachezaj fukuza kisha anakuja kocha anaeweza kuwatumia
Tusiopenda aina ya soka la José tujitahidi kumpenda tu,sioni dalili za yeye kuondoka.
Nimeona tetesi atapewa mkwanja January kwaajili ya CB na ST.
Hapa salamaWakuu habari zenu
Jumamosi haifiki tu Tony Martial anipigie hao Bournemouth..
Tuendelee kuimba"Tony Martial score again"
hivi Kumbe Carabao Cup mmeshatolewaHilo nalo kombe la kulizingatia??![]()
hivi Kumbe Carabao Cup mmeshatolewa
Ndio maana mnawaza jumamosi tu