Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial ni mfungaji goli zake ni ngumu mno.
FB_IMG_1540753660835.jpeg
FB_IMG_1540753652544.jpeg
 
Mi nimeongeza ya pili na liverpool

Liverpool kwa tactics za Mourinho sidhani kama mnahitaji kuiogopa, kiuhalisia Man Utd haiko kwenye ubora kwa EPL, na bado imestruggle UEFA vs Valencia na Juve, halafu uje useme eti ni Barca tu ndo wa kuwaogopa?

Hapo kuna teams kama Dortmund, PSG, Madrid (ingawa nao ni tia maji tia maji), Juventus.

Hapo sijazitaja teams za EPL.

Labda kama tunaongea kishabiki na si kimpira.
 
Nakubali, lakini kwa kiwango alichonacho Man Utd ya sasa huwezi kusema eti wa kumwogopa Ulaya ni Barca pekee!

Hiyo ndo kauli ninayoikataa.
uliangalia hizi games against United??
Tottenham
Chelsea
Juventus......tulipoteza though, ila commitment ilikuaje??

United ya msimu huu ikikutana na timu ndogo ndo inakuwa kama zezeta ila si kwa wakubwa wenzao kama huamini suburi game ya City na Juve
 
Liverpool kwa tactics za Mourinho sidhani kama mnahitaji kuiogopa, kiuhalisia Man Utd haiko kwenye ubora kwa EPL, na bado imestruggle UEFA vs Valencia na Juve, halafu uje useme eti ni Barca tu ndo wa kuwaogopa?

Hapo kuna teams kama Dortmund, PSG, Madrid (ingawa nao ni tia maji tia maji), Juventus.

Hapo sijazitaja teams za EPL.

Labda kama tunaongea kishabiki na si kimpira.
Mpira ungekuwa hivyo basi hata chelsea ungemfunga wewe upo uefa yy yupo europa
 
uliangalia hizi games against United??
Tottenham
Chelsea
Juventus......tulipoteza though, ila commitment ilikuaje??

United ya msimu huu ikikutana na timu ndogo ndo inakuwa kama zezeta ila si kwa wakubwa wenzao kama huamini suburi game ya City na Juve

Game zote hizo nimeziangalia, labda niulize swali, kuna timu kubwa ambayo mmeifunga msimu huu?
 
Nakubali, lakini kwa kiwango alichonacho Man Utd ya sasa huwezi kusema eti wa kumwogopa Ulaya ni Barca pekee!

Hiyo ndo kauli ninayoikataa.
Kufungwa kupo, sometimes ni incidental. Mechi ya Juve Man iliingia uwanjani na woga. Juve hata km ni wazuri si timu ya kuogopwa na Man U kiasi cha kuingia uwanjani na hofu na kucheza defensively. City kadhalika ni wazuri lakini hatupaswi kuingia uwanjani ukiwaogopa as if ni timu kuubwa!!
 
Mpira ungekuwa hivyo basi hata chelsea ungemfunga wewe upo uefa yy yupo europa

Hatuzungumzii bahati mkuu, tunazungumzia kiwango cha timu.

Mara chache kuna kitu tunasema mpira unadunda, na chochote kinaweza kutokea ndani ya dakika 90.

Pamoja na hizo kauli, bado ubora wa timu ndo unaoweza kufanya timu ijiamini kukutana na timu zingine, haitakiwi ijiamini kwa kutumia bahati.

Chelsea ni unbeaten mpaka sasa kwenye mashindano yote, yeye kuwa Europa haishushi ubora wake, kwa sababu kwanza Europa au Uefa inakuwa determined na results za msimu wa nyumba, na kama unavyojua timu zinafanya mabadiliko off season na kuwa na viwango tofauti. So Liverpool siyo kubwa kiviwango kwa Chelsea.
 
Kufungwa kupo, sometimes ni incidental. Mechi ya Juve Man iliingia uwanjani na woga. Juve hata km ni wazuri si timu ya kuogopwa na Man U kiasi cha kuingia uwanjani na hofu na kucheza defensively. City kadhalika ni wazuri lakini hatupaswi kuingia uwanjani ukiwaogopa as if ni timu kuubwa!!
True ile gemu ya Juve tulishindwa tu kujiamini..tungepata hata sare.
 
Kufungwa kupo, sometimes ni incidental. Mechi ya Juve Man iliingia uwanjani na woga. Juve hata km ni wazuri si timu ya kuogopwa na Man U kiasi cha kuingia uwanjani na hofu na kucheza defensively. City kadhalika ni wazuri lakini hatupaswi kuingia uwanjani ukiwaogopa as if ni timu kuubwa!!

Kuna kutoogopa kwa sababu nyingi:-
  • Una kikosi kizuri ambacho una uhakika kwamba ni bora kuliko mpinzani unayeenda kukutana naye.
  • Una kikosi kibovu na umeshazoea kufungwa, huogopi kufungwa na uko kwenye status ya liwalo na liwe.
  • Matokeo yoyote utakayoyapata hayaleti tofauti yoyote.
So, nitaomba uniambie game yenu na Juve hamkupaswa kuiogopa kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom