Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna lukaku wa ubelgiji na wa manchester uinted ile yule wa ubelgij anacheza na watu waliotimia kisoka haachi kufunga tukisema timu yetu ya kawaida watu wanakataa tunaamin lingard anaweza kmfanya lukaku afunge magoli kisha tunamponda sana kwamba sio striker


Mimi Lingard sijawahigi kumkubali, cha ajabu sijajua wamempaje mshahara wa pauni Zaidi ya Laki moja kwa wiki. Ila Right wing ya MUFC inahitaji usajili wa maana la si hivyo sijui
 
Pogba kiungo mkabaji
Herera kiungo mkabaji
Sanchez anataka Kufunga mwenyewe
Fred bado haielewi man united
Katika wachezaj aliowataja ni pogba tu kiungo ambae anaweza kumfanya lukaku afunge likin nae toka atoke juve hajawa kwenye kiwango chake tunaweza kusema ni kocha na mbinu zake lakin hazard kachukua tuzo ya mchezaj bora wa england chini ya mourinho mchezaj mzur hujifich ndo mana wakina rooney walinunuliwa toka everton kwa kuwa walijipambanua kama watu wenye mpira wao mchezaj mzur hajifich hata kocha awe mbovu
 
Kiujumla belgium wanacheza kitimu zaidi ndio maana lukaku nae anaonekana striker hatari
Ila man united haichezi kitimu ndio maana lukaku anaonekana hana msaada

ok inawezekana pengine upo sahihi kiupande fulani ya kwamba klabu ya manchester united hawachezi kitimu ndio maana lukaku romelu anaonekana ni mshambuliaji wa kawaida kwenye ulimwengu wa soka la klabu.
je chesea fc hawachezi kitimu?
mbona alvaro morata ana takwimu mbovu za ufungaji?

inawezekana pia upo sahihi kama ulivyoeleza hapo juu ya kwamba paul pogba, ander herrera na matic nemanja wote wanaishia kuwa wakabaji ndio maana romelu lukaku anashindwa kupata huduma za kutosha vipi kuhusiana na alvaro morata ambaye anacheza na mafundi kama eden hazard, willian, pedro, fabregas, jorginho mbona takwimu zake nayeye haziridhishi?
1539428431975.png

jawabu ameshalijibu Darmian hapo juu ya kwamba jamaa sio top striker mwenye uchu wa kuzitumia nafasi anazozipata.
inafika nyakati unatamani muda urudi tena nyuma upate kuwashuhudia wanaadamu kama hasselbaink, nistelrooy, henry, owen, robbie fowler n.k
 

Attachments

  • 1539426681014.png
    1539426681014.png
    251.2 KB · Views: 35
ok inawezekana pengine upo sahihi kiupande fulani ya kwamba klabu ya manchester united hawachezi kitimu ndio maana lukaku romelu anaonekana ni mshambuliaji wa kawaida kwenye ulimwengu wa soka la klabu.
je chesea fc hawachezi kitimu?
mbona alvaro morata ana takwimu mbovu za ufungaji?

inawezekana pia upo sahihi kama ulivyoeleza hapo juu ya kwamba paul pogba, ander herrera na matic nemanja wote wanaishia kuwa wakabaji ndio maana romelu lukaku anashindwa kupata huduma za kutosha vipi kuhusiana na alvaro morata ambaye anacheza na mafundi kama eden hazard, willian, pedro, fabregas, jorginho mbona takwimu zake nayeye haziridhishi?
View attachment 896596
jawabu ameshalijibu Darmian hapo juu ya kwamba jamaa sio top striker mwenye uchu wa kuzitumia nafasi anazozipata.
inafika nyakati unatamani muda urudi tena nyuma upate kuwashuhudia wanaadamu kama hasselbaink, nistelrooy, henry, owen, robbie fowler n.k
Umeniuliza swali gumu ila rahisi sana kulijibu
Morata anakosa kujiamini sijui ni nini kinamsumbua siku akijiamini vya kutosha mbele ya lango basi atafunga goli nyingi sana maana anakosa goli nyingi sana za Kufunga akiwa yeye na goalkiper
 
Tatizo pale man united mnamtengenezea nafasi ngapi usikute ni za kuhesabu halafu unataka akufungie goli za kutosha
Mfano jana na belgium lukaku alitengenezewa nafasi 5 tu na akafunga 2
Sasa morata yeye anatengenezewa hata 10 na hatumii hata moja hili ni tatizo la kutokujiamini mbele ya lango
Cha kufurahisha ni kwamba hata morata analijua tatizo lake
Kuna match ya europa league alikosa sana magoli akaja Kufunga akaanza kulia
 
Ila Hazard bhana...Moja haikai, Mbili haikai...... Soma hii mpya.

Eden Hazard ameweka wazi majuto yake ya jinsi gani muda wake na Jose Mourinho ulivyoisha na kuthibitisha kwamba anataka kufanya kazi tena na kocha huyo wa Man United.

Akifanya mahojiano na gazeti moja la nchini Ubeligiji HLN, hapo jana , Hazard alisema:

"Katika miaka 12 nilikuwa na msimu mmoja tu ambao mbaya, miezi sita ya mwisho chini ya Mourinho na kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni kosa langu . Baada ya kutwaa Ubingwa tulimuomba Mourinho kuongeza muda wa mapumziko . Nilirudi klabu nikiwa ovyo kabisa kimwili."

"Msimu wa mwisho chini ya Mourinho hakuwa wa furaha . Hatukuwa tunashinda. Tulikuwa tunafanya mazoezi bila kufurahia, ni ilikuwa kitu kizuri kwa pande zote mbili tuachane ( Klabu Vs Mourinho ) . Lakini kama nikiulizwa sasa hivi ni kocha gani natamani nifanye naye tena kazi , nitasema Mourinho."

" Sijutii vitu vingi sana katika maisha yangu ya soka , lakini moja ambalo najutia ni kutofanya kazi tena na Mourinho pale Chelsea. Tulikuwa na timu ambayo ingeweza kutwaa mataji mengi zaidi . Tuliishia kwenye mzunguko hasi ."

" Nilimtumia ujumbe wa simu kumuomba msamaha baada ya kufukuzwa , sikuonesha kiwango kizuri sana, tulifurahia mafanikio pamoja, nilikuwa mchezaji bora wa mwaka , halafu msimu uliofuata sikuonesha kiwango kizuri."

Hazard ameongeza kwa kutetea staili ya uchezaji wa Mourinho kwa kusema:

" Picha ya Mourinho ambayo watu wengi wanaamini ni kocha wa kujihami sana sio sahihi. Sio wa kucheza sana soka la kushambulia kama Pep Guardiola , lakini ule msimu ambao tulikuwa mabingwa , tulifunga magoli mengi sana na tulicheza mechi nzuri sana."

" Kama matokeo yakianza kuwa mabaya , lazima atakosoa wachezaji wake, lakini nilishaanza kuzoea na kukubali kwasababu ndio alivyo hivyo huwezi kumbadilisha."

" Lakini ukiwa unashinda mechi, Mourinho anakuwa kocha mzuri sana huwezi kuamini, anakuwa rafiki yako , unaweza kufanya chochote unachotaka , ukitaka siku moja ya kupumzika , anakupa mbili."
 
Ukisoma alichosema hazard kaanza kutoa siri jinsi mourinho alivyomwambia ajitume lakin kwa unafik wao walikuwa hawatak wanataka kocha atoke tuwe makini na wachezaj kuna muda hawatak kujituma

Ndo mana zlatan kasema kuna watu wanafik matatizo yao wanayaficha nyuma ya migongo ya wenzao
 
Kuna lukaku wa ubelgiji na wa manchester uinted ile yule wa ubelgij anacheza na watu waliotimia kisoka haachi kufunga tukisema timu yetu ya kawaida watu wanakataa tunaamin lingard anaweza kmfanya lukaku afunge magoli kisha tunamponda sana kwamba sio striker
Mfumo wa Belgium na wa Morinho ni sawa?

Wachezaji wanaonekana average kwasababu ya mfumo.
 
Yaan.. uwendawazimu.. huyo mzee wanini hvi ssa???
Mourhno kaishiwa atoke tu hapoo.. kocha wa Monaco anatufaa coz anajua ku deal n vjna
Ni ngumu kufanikiwa kwa Club km United. Clubs za AJAX, MONACO, PSV, LISBON, zinafanya biashara ya wachezani km moja ya malengo yao. United inahitaji matokeo.

Kwa maana ya kugroom talents, scouting na succession planning, nadhani wameshaafikiana kuanzisha cheo Director of Footbal.
 
Mkuu radika kwani Man ina wachezaji wabovu kiasi gani mpaka Useme hawawezi kucheza Madrid?

Sanchez mbovu? Si Man City walikua wanamtaka kabla hamjachukua?

Pogba mbovu? Si Barcelona wanamtaka? Na ametoka world cup akiwa na kiwango cha juu.

Matic mbovu? Si alitoka Chelsea akiwa kiungo bora Mkabaji akaisaidia na kubeba kombe?

De Gea? Sina la kuongea...

Lukaku Mbovu? Hivi sokoni siku hizi kuna Striker gani wa maana sana wa kumzidi Lukaku?

Hivi unajua mna beki namba 2 anaitwa Darmian ni bonge la beki Ila hachezi..Pia nilikuambia kazi ya kocha ni kuwafanya Average players kuwa wazuri zaidi nikakupa mfano wa Klopp alivyowafanya akina Gomez kuwa top defenders
Hivi sisi tuna wachezaj wa kuingia ktk kikosi cha madrid bila shida?
 
Mkuu radika kwani Man ina wachezaji wabovu kiasi gani mpaka Useme hawawezi kucheza Madrid?

Sanchez mbovu? Si Man City walikua wanamtaka kabla hamjachukua?

Pogba mbovu? Si Barcelona wanamtaka? Na ametoka world cup akiwa na kiwango cha juu.

Matic mbovu? Si alitoka Chelsea akiwa kiungo bora Mkabaji akaisaidia na kubeba kombe?

De Gea? Sina la kuongea...

Lukaku Mbovu? Hivi sokoni siku hizi kuna Striker gani wa maana sana wa kumzidi Lukaku?

Hivi unajua mna beki namba 2 anaitwa Darmian ni bonge la beki Ila hachezi..Pia nilikuambia kazi ya kocha ni kuwafanya Average players kuwa wazuri zaidi nikakupa mfano wa Klopp alivyowafanya akina Gomez kuwa top defenders
Radika akianza kumtetea Mou anakuwa kipofu kabisa,anaweza kukuaminisha hata De Gea ni kipa mbovu.
 
Mkuu radika kwani Man ina wachezaji wabovu kiasi gani mpaka Useme hawawezi kucheza Madrid?

Sanchez mbovu? Si Man City walikua wanamtaka kabla hamjachukua?

Pogba mbovu? Si Barcelona wanamtaka? Na ametoka world cup akiwa na kiwango cha juu.

Matic mbovu? Si alitoka Chelsea akiwa kiungo bora Mkabaji akaisaidia na kubeba kombe?

De Gea? Sina la kuongea...

Lukaku Mbovu? Hivi sokoni siku hizi kuna Striker gani wa maana sana wa kumzidi Lukaku?

Hivi unajua mna beki namba 2 anaitwa Darmian ni bonge la beki Ila hachezi..Pia nilikuambia kazi ya kocha ni kuwafanya Average players kuwa wazuri zaidi nikakupa mfano wa Klopp alivyowafanya akina Gomez kuwa top defenders
Mkuu unatambua kama bale alikuwa hana namba? Tuanzie hapo
 
Umeniuliza swali gumu ila rahisi sana kulijibu
Morata anakosa kujiamini sijui ni nini kinamsumbua siku akijiamini vya kutosha mbele ya lango basi atafunga goli nyingi sana maana anakosa goli nyingi sana za Kufunga akiwa yeye na goalkiper
Tatizo pale man united mnamtengenezea nafasi ngapi usikute ni za kuhesabu halafu unataka akufungie goli za kutosha
Mfano jana na belgium lukaku alitengenezewa nafasi 5 tu na akafunga 2
Sasa morata yeye anatengenezewa hata 10 na hatumii hata moja hili ni tatizo la kutokujiamini mbele ya lango
Cha kufurahisha ni kwamba hata morata analijua tatizo lake
Kuna match ya europa league alikosa sana magoli akaja Kufunga akaanza kulia
mkuu ahsante kwa majibu yako yenye kujitosheleza ila kupitia majibu yako nimebaki najiuliza swali ambalo mpaka muda huu sijapata majibu sahihi kupitia maarifa yangu madogo nilionayo
hivi hizi comment zako umedhamiria kumsifia romelu lukaku au umedhamiria kumponda romelu lukaku kinyume nyume?

kuhusu utengenezaji wa nafasi za kufunga kwenye klabu yetu ni ukweli ulio wazi ya kwamba wachezaji wetu kwa kiasi kikubwa wanapoteza umakini wanapofika maeneo ya adui jambo linalochangia zaidi kuwa na takwimu zisizoridhisha za utengenezaji wa nafasi za kufunga kwa romelu lukaku, hata hivyo unakuta kwa kiasi kikubwa nafasi hizo chache zinazotengenezwa romelu lukaku anazipoteza hususani zile anazobaki na mtu mmoja pamoja na goli kipa, jaribu kurejea mechi ya tottenham hostpurs, burnley, west ham, wattford na wolves.

manchester united amecheza mechi 42 amefunga magoli 20
everton amecheza mechi 141 amefunga magoli 68
belgium amecheza mechi 78 amefunga magoli 45

wastani wa goli 1 kwa mechi 2.

umesema jana ametengenezewa nafasi tano amefunga magoli mawili.
hahahahahaaaaaa.
ahsante sana mkuu kwa hili jiwe ulilonirushia
 
Back
Top Bottom