Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mi naona pia kitu kingine kinachoifelisha man u ni ugomvi na baadhi ya wachezaji
 
Wachezaji hawataki kocha, lkn uongozi wa man u unanifanya kama hawaoni
 
Mimi ni arsenal ila mnachokipata watani ni zaidi unyanyasaji wa kijinsia asee poleni sana,nimejarbu kuwaza kwanini Mou asimuweke pogba pembeni tena hata sub asimueke.
 
Huyo Jonjo kama namuona vile anavyotakata, leo Morinho lazima arudi kwao.
 
Hii ni aibu ya karne kwa viongozi wa Manchester United kwa kutokusoma alama za nyakati, yaan wanaona kabisa kocha hana mahusiano mazuri na wachezaji lkn wao wanaangalia tuu
 
Yaani mkuu naumia sana na hii timu yangu
Board ya Manu inajifanya kutokufahamu Ile usemi wa kawaida kabisa kwamba" Coach is hired to be fired" mashabiki waikumbushe board yao itoke usingizini. Hahaha mwanitesa United.
 
Back
Top Bottom