Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,150
- 17,003
Pole japo haibadili matokeo...Nadhani leo nimeumia zaidi kwa mara ya kwanza hata kama Mou anazingua lakini sio kwa kufungwa kiajabu hivi ndani ya dakika chache dah, nimeumia moyo sana![]()
![]()
![]()
Pole japo haibadili matokeo...Nadhani leo nimeumia zaidi kwa mara ya kwanza hata kama Mou anazingua lakini sio kwa kufungwa kiajabu hivi ndani ya dakika chache dah, nimeumia moyo sana![]()
![]()
![]()
Kama kawaida mictomiyan anaenda kukaa bekiMata in for Baily dakika ya 18...sijui kwa nini hii sub...
Leo ndiyo watashudia mvua ya magoli. Fergie na mzee boby charton wamesepa wajua matokeo.Usiombe timu kugomaWachezaji hawataki kocha, lkn uongozi wa man u unanifanya kama hawaoni
Sizani kama timu yetu inaweza kufanya comeback
Ni kawaida wachezaji kama hawamtaki mwalimu ndio inakuwa hivyoNadhani leo nimeumia zaidi kwa mara ya kwanza hata kama Mou anazingua lakini sio kwa kufungwa kiajabu hivi ndani ya dakika chache dah, nimeumia moyo sana![]()
![]()
![]()
Baryen ni sawa na man uTushapigwa 2 likewise bayern nae kafa 2 mpaka sasa
Huyo bob Chalton hataki hata kumsikia morinhoLeo ndiyo watashudia mvua ya magoli. Fergie na mzee boby charton wamesepa wajua matokeo.Usiombe timu kugoma

Hajakosea.Tunataka mipira iende mbele.anayeweza ni Mattabally amekosea nini?
Board ya Manu inajifanya kutokufahamu Ile usemi wa kawaida kabisa kwamba" Coach is hired to be fired" mashabiki waikumbushe board yao itoke usingizini. Hahaha mwanitesa United.Yaani mkuu naumia sana na hii timu yangu