Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jose ameshakaa miaka 3 ndo huwa muda wake anatimuliwa hana jipya, lakini napo Man U hata akija Zidane bado mtapata tabu sana, wachezaji wa kiungo na Beki bado hamna
Kocha mpya philosophy mpya. Wachezaji wapya.
Pale man u defence yote ni ya kuuza isipokuwa shaw.
Lukaku, fred, lindelof ,smalling wote wakuuzwa hawa.
Hakuna kocha wa viwango vya juu atakubali kuwa na wachezaji average kama hawa
 
Man u ina wachezaji Bora Sana Tena wengi Sana. Tatizo lipo kwa kocha. Kwanini anataka anunue ambao tayari waliisha tengenezwa. Asitengeneze wa kwake anao hapo wengi tuu.
Huyu siyo mwalimu mzuri. Hakuzi vipaji anavibomoa hatufai.
Muo sio mwalimu. Yeye huwa hatengenezi mchezaji na kumfanya bora. Anataka akute kitu kiko tayari kitumike.
Man you inahitaji makocha wenye kutengeneza mchezaji..
 
hii hali ipo kama ile sinema ya vyeti feki, mwisho wa siku Ed na black suit atatokea na kusema "the board still has a lot of faith in manager and we will support him together till the end of his contract"
Fuk him and his management. Unajua ed ndio chanzo cha mabalaa haya.
Alipokupo david gill mambo yalikuwa yanakwenda mrua. Lakin ed woodward jana vision kabisa.
 
Wafanye fasta maana hali ni mbaya. Japokuwa aishabikii united. Ila nawaonea huruma, maana mou alitufanya chelsea kitu kama hiko hiko, katuacha kwenye hali mbaya akatimkia madrid.

Mou aondolewe kabla hazidisha madhara makubwa kwa united
Inabidi tuongeze dua tu
 
Narudia tena tukubaliane tu mourinho hana mbinu/kaishiwa ubunifu na ufundi katika ufundishaj mpira, yani mara nying anafanya kutest wachezaji wakati cc tunataka matokeo na ndo mana hatuna first eleven
 
Narudia tena tukubaliane tu mourinho hana mbinu/kaishiwa ubunifu na ufundi katika ufundishaj mpira, yani mara nying anafanya kutest wachezaji wakati cc tunataka matokeo na ndo mana hatuna first eleven
Hajawah kua nao toka kaanza kufundisha soka,kilichokua kinamsaidia ni kununua wachezaj wa ghali na kupak bas,wameishtukia mbinu yake siku hiz
 
Asante ndugu, karibu jamvini. Tuna majonzi kwelikweli. Sijui siku tukikutana na wale majirani wakubwa itakuwaje na wale watani manake Kama Hawa watoto tuu wanatutia aibu namna hii. Daah
Hiyo inakuwa tofauti hata kama kuna mgomo unaisha kwa ulaya
 
Back
Top Bottom