Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,241
Sijui walikuwa wanaongeaje pale??Pogba analeta dharau nimeicheki clip sky sports
POGBAOUT
Sijui walikuwa wanaongeaje pale??Pogba analeta dharau nimeicheki clip sky sports
POGBAOUT
Angalia ile look ya pogba kwa mou kama anamwangalia awala yakeSijui walikuwa wanaongeaje pale??
Kama anamwambia..huniambii kitu wewe kolo..Angalia ile look ya pogba kwa mou kama anamwangalia awala yake
POGBAOUT
Link mkuu...Angalia ile look ya pogba kwa mou kama anamwangalia awala yake
POGBAOUT
Nimeiona kwwnye acc ya shafihLink mkuu...
Yeye kafanyaje sasa wachezaji wengi Man United ni michicha tu mkuu hili kubali ukataeKama anamwambia..huniambii kitu wewe kolo..
Mourinho hii timu imemshinda..
Link mkuu...
Average player kivipi??Yeye kafanyaje sasa wachezaji wengi Man United ni michicha tu mkuu hili kubali ukatae
We have more of average players than Top class player's
Lampard Frank Lampard alimzidi vitu vingi sana kiufundi Jose Mourinho katika mchezo wa Manchester United 2(7)-2(8) Derby Country.
Mpira ni mchezo wa wazi sana, unapozidiwa shurti uaibike na ndicho Mwanafunzi alichomfanya Mwalimu wake wa zamani.
Jose Mourinho ana vipindi vyake, hiki ni miongoni mwa vipindi vyake, bahati mbaya tu United hawana Doctor wa Kike aidhinishe safari aliyoizoea Jose Mourinho.
Frank Lampard identity yake tactically imeonekana na niliipenda zaidi ule mguu wa Wilson machoni mwa Romero mbele ya ukuta wa faulu.
Kilichobaki kwa Jose ni kuhesabu alichokivuna na sio atakachokivuna.
Watu wanaosema tuna average player huwa siwaelewi, Jana derby walikuwa wana top class players?? hadi watuoutplay kiasi kile.Average player kivipi??
De gea??
Pogba??
Matic??
Martial??
Lukaku??
Shaw??
Ndo ushindwe kufurukuta hadi kwa Derby count??
Tuondoleni kocha wenu.
leo ngoja nitie kambi hapaWatu wanaosema tuna average player huwa siwaelewi, Jana derby walikuwa wana top class players?? hadi watuoutplay kiasi kile.
Hawa jamaa hawaeleweki kabisa..wachezaji wa kutupa matokeo wapoWatu wanaosema tuna average player huwa siwaelewi, Jana derby walikuwa wana top class players?? hadi watuoutplay kiasi kile.
Katika hiyo list Top class ni David Tu ndiye ambaye amekuwa na consistency siyo Hao wengineAverage player kivipi??
De gea??
Pogba??
Matic??
Martial??
Lukaku??
Shaw??
Ndo ushindwe kufurukuta hadi kwa Derby count??
Tuondoleni kocha wenu.
Hahahaha..wachezaji gani wewe unawataka OT??Katika hiyo list Top class ni David Tu ndiye ambaye amekuwa na consistency siyo Hao wengine