Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu Wachokozi Kweli!!!

Screenshot_20180922-205647.png
 
Ni mchezaji wetu anaelipwa mshahara hewa.


waliona watamkomoa City kwa kumchukua huyo jamaa, sasa wameincur costs za kumlipa mshahara mkubwa kuliko hata aliokuwa anachukua Ronaldo pale Santiago Bernabeu plus kuwazibia na input ya jamaa haionekani
 
Back
Top Bottom