Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yetu nzito kweli kama mashine iliyokosa grease.
Tunashambulia sawa lakini pale beki za opponent wanapokuwa wameishakaa kwenye sehemu zao.
Hatuna mtu creative wa kusukuma timu mbele kwa kasi (kama tunamtegemea pogba hatutashiriki hata europa mwakani).
 
Timu ikishinda watu wanasema timu inawachezaji wazuri,timu ikifungwa watu wanasema hatuna timu..

Lukaku na sanchez mishahara wanayolipwa sijui ni ya kazi gani..hawa jamaa ingebidi kwa mwezi wawe wanavuta tsh750,000...
Bora mseme nyie bhna.ila inauma fergie aliingia akashingiliwa sana mwisho anaonyeshwa anaumia mzee wa watu.ningeambiwa pangua timu namtoa bolingoli na pogba.
 
Huyu kocha ata ukimpa wale wachezaji wa Liverpool na Manchester City baada ya muda mtawalaumu kina Miliner Benard Silver Alexender Arnold na Gabriel Jesus sio wachezaji kwa aina ya ufundishajina tabia yake
 
For me our main problem is we have no width. Sanchez, Martial, Lingard and Mata all drop inside. It makes us too predictable, Hopefully Rashford or Martial start up top with Lukaku against West Ham, if Lukaku has a bad game we don't play well because he's isolated. 5-3-2 please.
 
Mkuu hiyo £350K Ni Pesa anayolipwa Ozil pale Arsenal..
Sanchez analamba £500K Ni Mchezaji anayepokea Mkwanja Mrefu Kuliko Mchezaji Yeyote Pale EPL.
Mkuu huyu Sanchez mpeleke City au Liverpool utampenda sio kwa mpira anaofundisha na tabia ya kocha wao ilivyo
 
Babu Fergie uwanjani
1537636222013.gif
 
Jamaa inabidi arisk, aanze kucheza na akina Perreira, Martial na Rashfold. Ampige benchi aLukaku na Sanches


Umeongea point mkuu, kiungo pale wangekuwa regulars ni Matic, Pereyra na Herrera halafu mbele aweke regulars Rashford, Martial na Mata. Hii rotation itawacost
 
Manchester mkitegemea first starter ya Pogba na Lukaku sahauni kurudi kwenye peak ya Fergie era. Pogba, Lukaku na Sanchez wameshakuwa butu, wapigwe benchi. Sasa hivi kiungo kiwekwe cha Herera, Matic na Pereyra halafu Forward Rashford, Martial na Mata
 
Back
Top Bottom