SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,339
- 2,249
Watu mna chuki binafsi na mahaba niue sasa.Kwanza kama siyo degea tungepigwa nying tu.pereira ni promising player kuliko fred.
Watu mna chuki binafsi na mahaba niue sasa.Kwanza kama siyo degea tungepigwa nying tu.pereira ni promising player kuliko fred.
Hakuna chuki binafs kijana.kama umeangalia mpira hope umewaona mashabiki wa man u uwanjan.mpk wamesimama hawaelew.inauma kupoteza point kizembeWatu mna chuki binafsi na mahaba niue sasa.
Jamaa inabidi arisk, aanze kucheza na akina Perreira, Martial na Rashfold. Ampige benchi aLukaku na SanchesKwanza kama siyo degea tungepigwa nying tu.pereira ni promising player kuliko fred.
Lukaku nae aondoke na Pogba hawa wachezaji wazito hadi akili.Jamaa inabidi arisk, aanze kucheza na akina Perreira, Martial na Rashfold. Ampige benchi aLukaku na Sanches
Napingana na wewe khs Fred na Pereira.Hakuna chuki binafs kijana.kama umeangalia mpira hope umewaona mashabiki wa man u uwanjan.mpk wamesimama hawaelew.inauma kupoteza point kizembe
Mimi siwezi kuamini kama Man U itapona hadi pale Mou atakapoondoka OT.Timu ikishinda watu wanasema timu inawachezaji wazuri,timu ikifungwa watu wanasema hatuna timu..
Lukaku na sanchez mishahara wanayolipwa sijui ni ya kazi gani..hawa jamaa ingebidi kwa mwezi wawe wanavuta tsh750,000...
Kila siku mimi napiga kelele hivi sanchez ni kipi anachoisaidia hii timu??..na still bado mourinho anampanga tu..Mimi siwezi kuamini kama Man U itapona hadi pale Mou atakapoondoka OT.
Mou ni chanzo cha hayo yote na wachezaji aliowasajili hawajampa alichotaka na pesa alipewa sasa tunataka tuamini nini katika Mou!
Mou bora uende, umeniweka mbali na timu yangu.
Mkuu sio wakiangalia mpaka sasa hawana huo mwendoMan u msimu ujao msipoangalia uefa mtainusa tu kwa mbali kam chuzi la ubweche
Kila siku mimi napiga kelele hivi sanchez ni kipi anachoisaidia hii timu??..na still bado mourinho anampanga tu..
Poor management from our coach..
Tupo nje ya kinyanganyiro cha epl kabla hata october haijafika..
Mzee Wenger kwa % kubwa mchezaji akiondoka kwa kulazimisha huwa hafanikiwi zaidi. Angekuwa hapa Bongo hakika wengemhisi mchawi 😀.Kila siku mimi napiga kelele hivi sanchez ni kipi anachoisaidia hii timu??.