Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaa kama shabiki wa man u mechi kama hii haifai kuangalia bora usubiri tu ujue tumeshinda 3.ila haivutii kuangalia
Timu iliyokua inapiga mpira mzur england ni arsenal ya wenger kabla ujio wa pep na kocha wa spurs hata kipind yupo sir alex naona wengi mnachuk na wasahaulifu
 
Timu iliyokua inapiga mpira mzur england ni arsenal ya wenger kabla ujio wa pep na kocha wa spurs hata kipind yupo sir alex naona wengi mnachuk na wasahaulifu
Man u ilikua counter attack goli tayar.mechi ya watford ilikua tam sana kuangalia.
 
Man u ilikua counter attack goli tayar.mechi ya watford ilikua tam sana kuangalia.
Naona ni game plan tu imegoma cha msingi point tatu pia sio kila mech tutacheza hivo kuna timu ukifanya ivo unaumia
 
Mnaambiwa mchezo mbaya mnaleta ushabiki mandazi.haya basi hongeren kwa game plan mpk na kitimu kilichopanda daraja
 
Naaaaaaaam naona sasa hivi, mnafanya marktime katika zile zafasi za FUTUHI.
 
Back
Top Bottom