Dalot akifikisha miaka 23 kwa kweli tutapeta ndo kwanza ana 19 kushoto shaw daa wakuu hapa kuna timu matata sana inakuja kiungo cha andreas perreira tuwe na subira tu the future is bright.
Naona Luke Shaw masimu wake ila majeraha yampitie mbali,Dalot akifikisha miaka 23 kwa kweli tutapeta ndo kwanza ana 19 kushoto shaw daa waku hapa kuna timu matata sana inakuja kiundo cha andreas perreira tuwe na subira tu the future is bright.
hii imekaaje mkuu naomba taarifa hanikizi tafadhaliShots fired from Memphis Depay...
View attachment 871689
Mkuu nilikuwa kila siku nataman beki mbili na tatu tupate asilia sasa naona ndoto inatimia pamoja na valencia na young kiwa vizur ila mm nilikuwa sipendNaona Luke Shaw masimu wake ila majeraha yampitie mbali,
Dalot swala la muda Tu, yuko vizuri
Halafu uzuri wa hawa mabeki umri bado mdogo. Valencia na young wajiandaeMkuu nilikuwa kila siku nataman beki mbili na tatu tupate asilia sasa naona ndoto inatimia pamoja na valencia na young kiwa vizur ila mm nilikuwa sipend
Kabla ya mechi ya city vs lyon depay aliwachimba mkwara man city bado jiji linataliwa na manchester united na ndicho kilichotokea city kafa united kashinda.hii imekaaje mkuu naomba taarifa hanikizi tafadhali
Hahaha hapa sasa tuko sambambaKabla ya mechi ya city vs lyon depay aliwachimba mkwara man city bado jiji linataliwa na manchester united na ndicho kilichotokea city kafa united kashinda.
Kabisa hata cross zao ni nzuri sana tumepata faida sasa tuanze kuumiza kichwa 4 na 5 na pale anapocheza fellain maana kuna muda fellain anacheza kama namba 5 ningependelea pawe na mtu mwenye kasi tofaut na fellain japo kwa sasa anatusaidia sanaHalafu uzuri wa hawa mabeki umri bado mdogo. Valencia na young wajiandae
Halafu uzuri wa hawa mabeki umri bado mdogo. Valencia na young wajiandae
Ngoja tuone kama usajili huo utafanyika,Kabisa hata cross zao ni nzuri sana tumepata faida sasa tuanze kuumiza kichwa 4 na 5 na pale anapocheza fellain maana kuna muda fellain anacheza kama namba 5
Shaw kwa kweli ananifurahisha sna karudi vizur hata fellain alipoingia alikuwa vizur sanaValencia na Young wataanza kutulia bench muda sio mrefu.
Shaw na Dalot wanasukuma mashambulizi kuliko hao jamaa.
Kocha aendelee kuwa nafasi tu, hasa huyu DalotValencia na Young wataanza kutulia bench muda sio mrefu.
Shaw na Dalot wanasukuma mashambulizi kuliko hao jamaa.