Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuhusu line up..Mimi ningempumzisha lukaku(angekaa bench)..nikamuweka Rashford kama CF then martial kama LW na ANDREAS PERREIRA kama RW(yes amecheza hii nafasi mara nyingi alipokuwa Valencia na Granada).
Alaf uone mpira utakavyopigwa hapo
Hamna kitu hao watoto wamekwishapewa nafasi mara nyingi tu halafu wanazichezea
 
Pogba
1537387101806.gif
1537387106764.gif
 
Huyu Lukaku asiwe anarudi kukaba kwy kona. Abakie hukohuko mbele, kazi hiyo aliiweza Drogba sio yeye.
 
Back
Top Bottom