Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hata kama ni ushabiki basi usizidi kiivo, kwahiyo leo hujaona umuhimu wa pobga uwanjani?
Hata mm nimeshangaa sna pogba hadi anatoka alikuwa na mchezo mzur japo alikuwa anakera kuna muda kuwekeana mamisuli na kuanguka kama uliona alipoingia perreira mahala pake dogo alikuwa anapeleka timu mbele haraka sna
 
Back
Top Bottom