FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Straight red unakosa game 3 kama sjakosea.. So ni kuangalia ratiba imekaaje tu.Hivi Ronaldo atakosa mechi za Manchester United zote mbili??
Straight red unakosa game 3 kama sjakosea.. So ni kuangalia ratiba imekaaje tu.Hivi Ronaldo atakosa mechi za Manchester United zote mbili??
I wish akose zoteStraight red unakosa game 3 kama sjakosea.. So ni kuangalia ratiba imekaaje tu.
Ha ha haAisee niliipenda sana ile, angerogwa tu lukaku angetembelea nyota yake ya ng'ombe![]()
Nadhani ni moja tu ya OTHivi Ronaldo atakosa mechi za Manchester United zote mbili??
Bail mzuri akicheza na Phil , wakiwa na Lindeof wanamakosa sana apo beki amba anacheza na wote ni chrisNgoja tuone kama usajili huo utafanyika,
Najiuliza kwanini Bailly anamuweka nje
Ninavyofahamu kwenye UEFA, straight red card ni one game ban unless waone kosa lako linafaa 3 games.Straight red unakosa game 3 kama sjakosea.. So ni kuangalia ratiba imekaaje tu.
Ampange Siku moja moja na ChrisBail mzuri akicheza na Phil , wakiwa na Lindeof wanamakosa sana apo beki amba anacheza na wote ni chris
Yule dogo bado sana. Anahitaji confidence zaidiHawexi kucheza mechi hizo
Martial ana kiwango ila shida ni confidence. Akirudisha confidence atakuwa powa kama mwanzoniShaw karudi naona martial kidogo kipindi cha pili alibadilika aendelee kujiamini tu soon atakuwa poa
Martial ana kiwango ila shida ni confidence. Akirudisha confidence atakuwa powa kama mwanzoni
Ha ha haShida ya Martial anacheza kama vile mtoto wa kishua. Anacheza kwa starehe hataki shida hata ya kuguswa kidogo
Asante jiraniHongereni sana red devil
Ita beef up kwel kwel



Strike wetu tegemeo ila anajua kutudisappoint yuleHa ha ha
Ha ha ha, Siyo kidogo asee.Strike wetu tegemeo ila anajua kutudisappoint yule
Ana show offs nyingi.. Same Mbape, Neymar bora hata hawa ni forwards. Hii inamfanya anapoteza mipira muhimu na timu kupwaya sometimes.Mimi pogba jamani namuona kama kwa nafasi anayocheza ni mchezaji ambaye hajakamilika pamoja na mabao mawili na improvement aliyoonyesha. Jamaa ni Giant ila Mara kadhaa alikuwa anaenda chini kilegevu sana,Kuna wakati watu hawatumii nguvu kabisa kumnyang'anya mipira anabaki anadondoka na kulala tunashambuliwa, anapoozesha mashambulizi na kasi ya timu yake hasa wanapokuwa wanavuka katikati. Nahisi anacheza sana na Kamera na mashabiki kuliko na wenzake uwanjani. Unakuta wenzake wametoka na mpira mbali ambako wameupata kwa jasho na damu wanampa yeye afanye engineering yeye anakaa nao anawasubiri waje wapinzani hata wawili watatu ili wapigane mavikumbo ndio atoe pasi(mpira Wa kizamani) hadi ananyang'anywa. Kwenye game ya Spurs alifanya hivyo wenzie walifanya kama kumsusia hivi wakamwacha apimane mibavu na maadaui aliowakaribisha mwisho akatoa tu mpira nje huku akionyesha hajaridhika. Anapewa Arm band hafu anacheza vile! Inabidi aache utoto muda si mrefu atakuwa kama Neymar manake vingi wanalingana.