Ni sahihi ukisemacho ila kiubinadamu baadhi ya vitu unajikuta unatoka nje ya mstari,refer back to Zinedine against Marco materrazi tena kwenye moment kama ile kwenye fainali ya kombe la dunia tena zizzou akiwa ndo mbeba timu na capitanoDogo Rashford alitakiwa awe mpole na sio kuresort kwenye hasira zinazoipa hasara timu, fikiria anafanya upuuzi huo kwenye mechi vs City au Chelsea? Kama sio kupigwa hata tano
Hasira kama zile angeonyesha mtaani na sio ndani ya mechi! Ingekuwa mechi hata ya Arsenal ile red card ingeigharimu MUFC kipigo heavy, inabidi awe anatanguliza tafakuri na sio hamasa
Kipind cha huyo jamaa tulipeta sana gill alotoa pesa za usajili nnavyohisi ed kakasirika baada ya mourinho ku block ronaldo kurud united jamaa anapenda sana biashara.
Ni sahihi ukisemacho ila kiubinadamu baadhi ya vitu unajikuta unatoka nje ya mstari,refer back to Zinedine against Marco materrazi tena kwenye moment kama ile kwenye fainali ya kombe la dunia tena zizzou akiwa ndo mbeba timu na capitano
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah umewahi kucheza mpira?? Na umeona kisa cha yeye kureact?? Refa ndio kachemka.Dogo Rashford alitakiwa awe mpole na sio kuresort kwenye hasira zinazoipa hasara timu, fikiria anafanya upuuzi huo kwenye mechi vs City au Chelsea? Kama sio kupigwa hata tano
Hasira kama zile angeonyesha mtaani na sio ndani ya mechi! Ingekuwa mechi hata ya Arsenal ile red card ingeigharimu MUFC kipigo heavy, inabidi awe anatanguliza tafakuri na sio hamasa
Hivi sumbai ni shabiki wa teamHONGERA ZETU.
Majirani nimeamua nijipongeze mwenyew maana haiwezekani mpaka sasa hivi hamuonekani kwenye huu Uzi.
Mnapenda misiba tuu mnywe chai na mandazi.? Leo huku hapaliki.
Full time tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
unamuambia nani sasaBurnley tangu ligi imeanza hajashinda gemu hata moja tangu mwanzo wa msimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elekezaneni tu wakuu mtafikaKwa ulichoandika hapa naomba kwa heshima na tuendelee kuheshimiana naomba ukiona post zangu zipuuze na mm za kwako ntapuuza.
Msifke huko wala
Pointunamuambia nani sasa
Mourinho post-match : "I'm happy today, but some of you might be disappointed"Naona leo mmeondoa gundu gunduni
Hongeren sana
E&K
Hahahahah wameficha coment zao wanasubir tupigwehii jukwaa tukifungwa unakutaw wawnaojidai wanazi wa timu utakuta wametema comment kama 500+ lakin i ajabu neema ikiwepo wanaona aibu kuja kutema komnti tena.
Burnley tangu ligi imeanza hajashinda gemu hata moja tangu mwanzo wa msimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
samahani ni LUKAKU, an sio wewe ila kuna mafundi humu ndani waliombeza na kusema sio striker mzuri, mara ni mzito, mara hana ubunifu nk
Did you see the impact of Matic on last two game ?Ndugu watu huwa wanachukia mpira mbovu uliozoeleka na Mou na si kwamba hata timu iki improve watu wanamchukia tu kocha. Ilifikia kipindi humu watu walisema kufungwa siyo ishu ila tatizo timu inafungwaje,inachezaje? Ndo mana Mimi hata tulipofungwa na Tot bado nilisema nimepata matumaini makubwa na timu kutokana na mabadiliko niliyoyaona kiuchezaji. So hata Leo timu imecheza vizuri sanaaa,sijaona kupaki cjui basi au baiskeli. Mwl akiendelea hivi sapoti yangu anayo kubwa tu,ila kamwe sitamsapoti atapocheza lile limpira lake la kuirundika timu yote nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app