Evra atoke tu jamani yani hovyo kabisa
Nachompendea Valencia huwa hana mbwembwe kama Nani na Young akipata tu upenye anapiga cross bila kuchelewa kama Dan Alves vile
Yani watu huwa wanamlaumu tu Rio kwamba kachoka ila kwa kweli Evra amekuwa uchochoro sana yani kila mtu anapita tu kwake kama hamna mtu vile
Evra jaman kachoka..yaan anashambulia vzur kuliko hata anavo defend..ila simlaumu...misimu zaid ya mitano anacheza tuuuu....
Kijana amechoka sana maana kila mechi yupo huwa haumii ovyo kabisa...na huwa anapiga full 90 mins...amuingize tu yule kijana mdogo
Si kwamba kashuka kiwango ila tatizo amechoka kwa kucheza mechi nyingi sana so anahitaji kupumzishwa mechi kadhaa, kwa sasa inabidi Ezekiel Fryers acheze kwa muda
Dahh.......ilibidi niamke usiku kuangalia gemu la Barca Vs Santos...........nikarudi kulala tena......duuhh NO DOUBT!! BARCA....is the Best in the WORLD..............