Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Samahanini sana Mashetani.........Wakuu hivi gemu la Santos na Barca ni saa ngapi?.........

Salama kaka? umeziona tuhuma dhidi yako hapo page ya nyuma?, au utafanya press conf ku clarify?
 
Hamshkiki wapi nyie?? lig ilipoanza mlikimbza thana, bt thatha hali yenu tete, wenyewe mnajua!!
Jaman naulizia game ya Barca na Santos itakuwa sa ngapi za kibongo leo???:A S 465:
 
Hamshkiki wapi nyie?? lig ilipoanza mlikimbza thana, bt thatha hali yenu tete, wenyewe mnajua!!
Jaman naulizia game ya Barca na Santos itakuwa sa ngapi za kibongo leo???:A S 465:

saba mchna supersport 7 kama uko afrika..
 
Hamshkiki wapi nyie?? lig ilipoanza mlikimbza thana, bt thatha hali yenu tete, wenyewe mnajua!!
Jaman naulizia game ya Barca na Santos itakuwa sa ngapi za kibongo leo???:A S 465:

Umeshaanza mda mrefu sana...kipindi cha pili sasa....
 
Good decision to start with antonio Valencia, Nani na Young wamekuwa masharobaro sana
 
Inaonekana goli lao lipo wazi leo sema inabidi kutumia chance ambayo itapatikana tu
 
Hizi chance baadae zitakuja kuwageukia wasipo zitumia aiseee
 
Phillips naona leo ataamia kila upande,kwa smalling sasa kumemshinda
 
Yani watu huwa wanamlaumu tu Rio kwamba kachoka ila kwa kweli Evra amekuwa uchochoro sana yani kila mtu anapita tu kwake kama hamna mtu vile
 
Valencia naona form yake inarudi sasa ndio maana inabidi aanzishwe tu....


Nachompendea Valencia huwa hana mbwembwe kama Nani na Young akipata tu upenye anapiga cross bila kuchelewa kama Dan Alves vile
 
Back
Top Bottom