Yaani Pogba sio Mchezaji wenye macho makubwa ndio wataona ila walijaa ushabiki wa timu hawawezi kugundua.
Pogba kwanza anajiona sana na endapo akizoea kitambaa cha unahodha basi atasumbua sana, tunataka wachezaji wanaocheza kwa mbio sio kutembea kama ngongoti huyu wa Kifaransa.
Pogba Mou mkienda hakika nitafurahi sana.