john agrey
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 1,280
- 2,080
Pogba captain!
Kikosi hicho wazeeView attachment 832286

Kama humu ndani mashambulizi yalikua hayo, huko nje yalikuaje....ana furaha aitoe wapi na ana furahia nini??Mourinho wakati anahojiwa usoni hana furaha, hali ya kujiamini haipo kabisa...
Mkuu Mi nafikili ni kutokana na ile mistar black kwenye t shirtMsimu huu mechi za nyumbani tunavaa bukta nyeusi badala ya nyeupe tulizozizoea. Yaani ni kama tutakuwa away kwa mechi za Old Trafford
Asante jiraniKila la kheri majirani.
Leo tutaona wale wanaomsapport Mou na wasiomsapoti wapi wataanza kuwa disappointed
Mkuu naona maumivu ya kule yamekuchosha, umerudi huku 🤣🤣🤣Wanaomsupport Ndiyo Watakaolala Na Furaha
Mkuu naona maumivu ya kule yamekuchosha, umerudi huku 🤣🤣🤣