kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Hao wachezaji Wa katikati Wa hizo timu mbili ulowataja ni kweli walipaswa wasilingane ila kwa sababu hao Wa man u wapo chini ya mou hatutawalinganisha na viungo hata Wa west hamfabihno hata team ya taifa hakufikiliwa kuitwa umlinganishe na Fred aliyekuwepo benchi la Brazil acha utoto kwenye football, hauwezi linganisha Fred,matic ,pogba,kisha Henderson, fabihno, keita kuwa mkweli. Kwa Salah ni tofauti Hakuna ubishi anaujua England Mzima upande wa kulia ni yeye kushoto hazard