Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Martial ni mvivu sana kocha wa ufaransa kashindwa hata kumuamini kama mzur tatizo ni kocha kwa nini asichukuliwe? Kachukuliwa mtokea bench giroud yeye wap kwa nn?
Kwanini uvivu wa Martial utokee chini ya Mourinho?