deogratias hezekiel
Member
- Jan 21, 2018
- 14
- 6
Sio tatizo hii ni pree season subili league ianze ndo tuione AsenalIDIMI,
Wewe u mtu mwuungwana heshima mbele! Shukrani- ni kweli hawa vijana wa Wenger wanatisha! 13 matches- hatujapoteza hata moja!
Sio tatizo hii ni pree season subili league ianze ndo tuione AsenalIDIMI,
Wewe u mtu mwuungwana heshima mbele! Shukrani- ni kweli hawa vijana wa Wenger wanatisha! 13 matches- hatujapoteza hata moja!
Tusubiri tuone mkuuAkili za Mou anazijua yeye mwenyewe,labda na bodi ya timu.
leo kapoteza asenaleSio tatizo hii ni pree season subili league ianze ndo tuione Asenal
Martial mwezi december na january aliwasha moto hatari,ila akasajiliwa sanchez ambaye alichukua nafasi yake..hapo hata kujituma kunapungua,maana unaona kocha hana mpango na wewe..Sanchez amekuwa ovyo tokea alivyovaa jezi ya united..mechi chake tu ambazo ameonyesha impact kidogo kama ile ya mancity..sikuona haja ya yeye kusajiliwa,na sidhani kama ataprove sababu yoyote ya yeye kusajiliwa..Kabla ya mourinho hao wachezaji wazuri walitufikisha nafasi za ngapi? Ili tujue kocha kama kweli jawaharibu hadi tunapotea
Najua wengi watajikita ktk suala la martial hebu tumuangalie martial ukisikiliza sababh za kuachwa timu ya taifa na didier deschamps huwezi kumlaumu mourinhi sisi ni vile tunakwaida ya kupenda wachezaji wetu hilo tunaliweza alisema martial nilimuita mechi yetu na german alichezaa vizur lakin si kwa kiwango cha mbape na dembele wote tumeona kuna muda hao walilazimika kukaba na kupanda mbele wengi tuna mzarau giroud lakin akisimama mbela mabek wanapata tabu sana kwa nguvu zake kiasi kwamba lacazatte kabaki
Martial yupo vizur ila bado hana njaa ya kujituma ziadi hizi mech mbili za pre season kama umeangalia utagundua kwamba bado anahitaj kukaza sana mechi ya ac milan sanchez kacheza kama striker angalia purukushani zake ni hatari sana
Mbona wakina young wanafanya vizur
Lingard kaboresha sana kiwango chake tumpe credit kocha timu yetu inawachezaj wengi wa kawaida tunaijenga kwa sasa pogba kafanya vizur france lakin angalia watu wa kazi aliocheza nao matuid,kante nzonzi ni shida sana
Port 5*UEFA Champions League 2018-2019 Pots*
*ᴄʜᴀᴍᴘɪᴏɴs ʟᴇᴀɢᴜᴇ*
*POT*
Atletico Madrid
Barcelona
PSG
Lokomotiv Moscow
Bayern Munich
Juventus
Manchester City
Real Madrid
*POT*
Tottenham
FC Porto
Shakhtar Donetsk
SSC Napoli
Dortmund
Man United
Benfica
FC Basel
*POT*
Liverpool
Monaco
Schalke 04
Ajax
Roma
RB Salzburg
Lyon
CSKA Moscow
*POT*
Valencia
Viktoria Plzen
Club Brugge
Inter Milan
PSV Eindhoven
Celtic
Galatasaray
Hoffenheim

Yaani richarlson ana worth £50m?? ...huu ni zaidi ya ukichaanimeona tetesi zinazomuhusu marcos rojo kuhamia wolverhampton kwa pound million 26.
ni habari ya kushangaza sana kuona timu iliopanda daraja ina uwezo wa kufanya usajili wa gharama kubwa sana.
kama macos rojo ataondoka ndio kutakuwepo uwezekano wa kusajili mlinzi mwengine wa kati.
ni kweli usipoingika ya kwamba Uingereza ndio nchi pekee ambayo wanaufanyia kazi msemo wa mpira ni biashara.
![]()
- upande wa pili unakuta everton wapo tayari kulipa pound millioni 26 kwa yeri mina wa barcelona.
- everton wamelipa pound million 50 kwa richarlison kutoka watford.
Ninavyifikili kama kocha atatoa uhuru wa mtu kucheza atakavyo kwa kiwango chake bila kuweka masharti magumu na kuwapanga wachezaji namba sahihi na kuwasikiliza wanachotaka, kuwapa anachotaka timu inaweza kufanya vizuri na kuwafurahisha washabiki. Mfano muone pogba ufaransa namba anayocheza, matic sebia. Pia kocha apunguze kubagua wachezaji na ajenge uzalendo ndani ya timuTatizo la wachezaji wa sasa wengi wanashindwa kujielewa
Hapo tatizo ni kochaJana Patrice Evra kupitia Instagram alitoa Ujumbe mzito sana
Wachezaji Wa Manchester United ```Wapiganie badge na mashabiki watakuwa mifukoni mwao"""
inaonekana Wachezaji Wengi wa timu yetu hawaijui Manchester United wanajichezea wanavyojua wao sasa tatizo ni kocha au mfumo? huu msimu tata kwangu kwakweli