Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,103
Mechi za kirafiki
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City wataelekea nchini Marekani kwa ziara ya ambayo itashirikisha mechi za kirafiki dhidi ya wapinzani wao wa Uingereza Chelsea na Liverpool.
Klabu hizo tatu zitaungana na klabu za Manchester United, Arsenal na Tottenham katika mchunao huo wa mabingwa wa kombe la kimataifa
Shindano hilo la kila mwaka pia litashirikisha mabingwa wa Uhispania, Itali, Ufaransa na Ujerumani -Barcelona, Juventus, PSG na Bayern Munich - pamoja na Benfica na Atletico Madrid.
Liverpool itakabiliana na klabu zote mbili za Manchester katika kipindi cha siku tatu, huku Chelsea ikichuana na wapinzani wao wa London Arsenal katika mji wa Dublin Agosti mosi.
Mabingwa watetezi wa kombe la FA Chelsea watakabiliana na Manchester City katika kombe la Community Shield katika uwanja wa Wembley mnamo tarehe 5 Agosti.
Wiki mbili kabla ya mechi hiyo Chelsea itasafiri maili 17,982- magharibi mwa Australia ili kuchuana na Perth Glory.
Mechi za kirafiki kabla ya msimu wa ligi ya Premier kuanza:
Manchester United
19 Julai: Manchester United v Club America (Phoenix University Stadium, Arizona)
22 Julai: Manchester United v San Jose Earthquakes (Levi's Stadium, Santa Clara)
25 Julai: AC Milan v Manchester United (Rose Bowl, Pasadena)
28 Julai: Manchester United v Liverpool (Michigan Stadium, Michigan)
31 Julai: Manchester United v Real Madrid (Hard Rock Stadium, Miami)
5 Agosti: Bayern Munich v Manchester United (Allianz Stadium, Munich)
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City wataelekea nchini Marekani kwa ziara ya ambayo itashirikisha mechi za kirafiki dhidi ya wapinzani wao wa Uingereza Chelsea na Liverpool.
Klabu hizo tatu zitaungana na klabu za Manchester United, Arsenal na Tottenham katika mchunao huo wa mabingwa wa kombe la kimataifa
Shindano hilo la kila mwaka pia litashirikisha mabingwa wa Uhispania, Itali, Ufaransa na Ujerumani -Barcelona, Juventus, PSG na Bayern Munich - pamoja na Benfica na Atletico Madrid.
Liverpool itakabiliana na klabu zote mbili za Manchester katika kipindi cha siku tatu, huku Chelsea ikichuana na wapinzani wao wa London Arsenal katika mji wa Dublin Agosti mosi.
Mabingwa watetezi wa kombe la FA Chelsea watakabiliana na Manchester City katika kombe la Community Shield katika uwanja wa Wembley mnamo tarehe 5 Agosti.
Wiki mbili kabla ya mechi hiyo Chelsea itasafiri maili 17,982- magharibi mwa Australia ili kuchuana na Perth Glory.
Mechi za kirafiki kabla ya msimu wa ligi ya Premier kuanza:
Manchester United
19 Julai: Manchester United v Club America (Phoenix University Stadium, Arizona)
22 Julai: Manchester United v San Jose Earthquakes (Levi's Stadium, Santa Clara)
25 Julai: AC Milan v Manchester United (Rose Bowl, Pasadena)
28 Julai: Manchester United v Liverpool (Michigan Stadium, Michigan)
31 Julai: Manchester United v Real Madrid (Hard Rock Stadium, Miami)
5 Agosti: Bayern Munich v Manchester United (Allianz Stadium, Munich)