Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo Mou kuna watu kawawekea ndumba leo akifanya vizuri wanaona anafaa ila akizidi kuboronga wako kimya.

Mou sitamkubali hata alete mataji 6 kwa msimu pale United.
 
Man U hongereni kwa kushinda nafasi ya pili msimu huu.

Mtaumia sana jumamosi pale Liverpool atakaposhindilia msumari wa moto kwenye mioyo yenu kwa kubeba Champions League.

Hapo ndio mtapack mabegi yenu kwa wingi wenu wa mamilioni muungane na mkuu wenu wa msafara Garry Neville kuenda katika nchi isiyojulikana kujificha humo kwa miaka kadhaa kutokana na aibu mtakayoipata
 
32858347_10156652362718598_2391669400819204096_n.jpg
 
Maisha ya kiungo Marouane Fellaini ndani ya Manchester United yanaonekana kufika mwisho baada ya mchezaji huyo kuhama katika nyumba yake Cheshire, vilabu vya monaco, Marseille vinavutiwa kumsajili mchazaji huyo.(Sunday People)
Hivi bado ni mchezaji wetu?, si msimu umeisha na mkataba unaisha ?
 
Maisha ya kiungo Marouane Fellaini ndani ya Manchester United yanaonekana kufika mwisho baada ya mchezaji huyo kuhama katika nyumba yake Cheshire, vilabu vya monaco, Marseille vinavutiwa kumsajili mchazaji huyo.(Sunday People)
Huyu mpuuzi,mourinho ndo anambembeleza abaki old trafford..yaani upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom