Wewe unachuki zako tu na Martial jana nani kacheza vizuri zaidi ya De gea? Wanapoteza mipira hovyo pasi hovyo, Rashford kumpa mwenzie pasi hawezi anahangaika tu na mpira wewe kwanini umuone Martial tu?.NATAKA WALE WOTE WALIOKUWA WANATETEA HII TAKATAKA MARTIAL WAJE HAPA NA LEO. UJINGA HUU AUZWE HUYU DARAJA LA KWANZA HUKO.
.Jose Mourinho: "Now you see why some players don't play all the time. Maybe now you will not ask questions why some are not playing every week."


uyu jamaa ana kiburi haswaa.
kamdis martialNi kweli Jose kasema maneno haya??uyu jamaa ana kiburi haswaa.
Kuongea ukweli ni kiburi ?Ni kweli Jose kasema maneno haya??uyu jamaa ana kiburi haswaa.
Mkuu kwa hiyo wote walicheza vizuri except Martial? Mbona wengi tu wamezinguaNATAKA WALE WOTE WALIOKUWA WANATETEA HII TAKATAKA MARTIAL WAJE HAPA NA LEO. UJINGA HUU AUZWE HUYU DARAJA LA KWANZA HUKO.
kamdis martial
United inabidi ifanye kila linalowezekana kumbakisha Martial bado dogo ana kitu anaweza ku-offer inaonekana ana matatizo binafsi tu.kamdis martial
Yeah ni kiburi na dharau alafu hajaanza leo hakuna kitu kibaya kama ku-single out mchezaji/wachezaji fulani pale timu inapopata matokeo mabaya,unadhani Utd ingeshinda angesema fulani ni bora kuliko Lukaku au angepiga kimya kwa nafasi yake sio vema kusema hawa ni mizigo na wale ndio wanabeba timu yeye ni mlezi pia.Kuongea ukweli ni kiburi ?