Naona mwanya kwa Danilo na Kompany...View attachment 737472Derby Day
Wakuu hii inapigwa OT au ETIHAD?View attachment 737472Derby Day
ETIHADWakuu hii inapigwa OT au ETIHAD?
Ofcourse wao wanawaza UEFA tu,Ila approach ya mau umeiona?Tutawachinjia palepale kwao na guardiola wao![]()
hii game naenda kuiangalia kwa heshima ya ander herrera,na inaweza kuwa game yangu ya mwisho kwa msimu huu katika epl.


hata mimi aiseeHuyu Ander alikuwa nje muda mrefu sio wa kuanza mechi hii kubwa ya utani wa jadi. Lakini kwa ujumla timu nzuri, wale watoto wamewekwa benchi, ngoja leo nikaangalizie bar kifua mbele.hii game naenda kuiangalia kwa heshima ya ander herrera,na inaweza kuwa game yangu ya mwisho kwa msimu huu katika epl.
Liver hajatushusha.
2 games ahead of us but still wapo nyuma yetu.
We are having a bad season, but this is one of their best season, spot the difference
Leo nawashangilia mshinde. Mkipigwa ubaya tutahitaji mje uhamiaji na vyeti vyenu vya kuzaliwa pamoja na vya mababu/ mabibi zenu tangu enzi za Mjerumani