Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Marcus Rashford atulize akili tu, ni world class footballer wa miaka michache tu ijayo.
 
Sevilla wamekamata Midfield wanacheza wanavyotaka wao Nzonzi + Banega kama wako kwenye Training vile wame Relax tu Hahahahahak No Energy .No Creativity
 
Mourinho cjui yakoje bhana. Huwa ana tabia ya kujaribisha wachezaji kwenye mechi kubwa
Mechi kubwa inatakiwa wachezaji wakubwa. Fellaini vs McTominay nani atakuwa anajaribishwa kwenye mechi hii?
 
Falaini kajitahidi lakini kakosa msaidizi pale kati hakuna mtu kama mata wakupiga long pass coz hawa sevila wana relax tu kwa middfilders wao so sanchez na lukaku wamezoa long pass ili wakimbize sasa fallaini sio mido ya longpass yy ni wa short pass ndio maana leo tunaona wamepoa natumai akiingia mtu wa longpass tunamaliza kazi
 
Lukaku sanchez sioni wanafanya nn kaz kupoteza chances.wasenge wakubwa
Mkuu unaangalia mpira wa wapi, Lukaku anapiga pasi ndefu za uhakika kule pembeni kwa Young, mtangazaji anatania anasema anafanya kazi ya Pogba. Sanchez atoke mapema Mata aingie.
 
Au atoke Sanchez aingie Pogba namba 10
Tatizo pogba nae mzito.....tutakimbizwa balaa. Hapo dawa ni kiberenge tu Mata. Wengine wote wabaki ndio utamjua Lingard na Rashford ni nani. Lukaku atakua anatupia tu.
 
Lukaku sanchez sioni wanafanya nn kaz kupoteza chances.wasenge wakubwa
Yaani kabisa hujaona anachokifanya Lukaku?

Kukosa kufunga kwa nafasi alizozipata ndiko kunafanya utoke na povu Hilo?

Anyway akifunga naamin utashangilia.
 
Back
Top Bottom