Smalling yuko vizuri sana..mechi tatu za mwisho amecheza VIZURI SANA.,huwezi kwa namna yoyote kumuweka nje eti acheze Baily ambaye katokea majeruhi ya muda mrefu. Young ni mzuri ni mkongwe mechi ngumu hizi huwa anakuwa mgumu sana, naona ndio pekee anamkaribia Valencia.