Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ulikandia ni kwanini Martial kaanza na ukasifia kuanza kwa Young na Smalling? Hawa wachezaji wawili wanaopigiwa kelele na kila shabiki wa Man United.
 
Ushindi safi nimefurahi kwa kweli na bado imani yangu inaniambia United tuna kikosi kizuri sana ni Mou tu kuamua kuwa na mfumo unaoeleweka, Pogba kaupiga safi sana Lingamessi kama kawaida yake ndo anaetuokoaga kwenye hatari
.
Na huyu Lukaku ni kwanini anapenda kuzifunga timu ndogo, kubwa hafungi anakera kweli
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…