Ni mchezaji wa kawaida sana kiwango kidogo, utoto mwingi na kibaya zaidi tabia yake ya kusimama kule mbele wakati wenzake wanakaba mipira chini. Anaetakiwa kubaki pale mbele ni Lukaku peke yake lakini pamoja na hayo huwa anarudi nyuma kusaidia na kuchukua mipira.