Hiyo ni sababu ndogo sana tote alikuwa ugenini tena kwa juve ka score na akapiga mpira mwingi sana pale turin liver ugenini kwa porto ka score... Sasa level ya juve na sevilla huwez fananisha hata kidogo juve is the best lakin alilazimishwa kuchomolewa goli 2.... Kiukweli timu yetu tukubali inamapungufu saana tu hasa katika mbinu hakuna ubunifu kabisa...