Siamini kabisa Kama Wigan kafanya hivyo, na nilitaka ni bet niweke hela maana nilijua kabisa Wigan hatoki. Tena ningeweka Handicap 2. My God. Duuh hi I Leo somo.Mi nisingeweka hela kubwa. Kwa sababu wigan nakumbuka vizuri walichotufanya 2013-2014
Mpira mchezo wa makosa.Siamini kabisa Kama Wigan kafanya hivyo, na nilitaka ni bet niweke hela maana nilijua kabisa Wigan hatoki. Tena ningeweka Handicap 2. My God. Duuh hi I Leo somo.
Daaa we ndugu huwa uko serious unavyosema Martial ni mzigo mzito pale Man U?Pigaaaaaa.... leo Martial kaanzia benchi..ngoja nianze na castle light baridi kabisa.GGMU
Amekukosea nini Martial?Mkuu usijali, ule 'mzigo' uko benchi leo. Anza kufurahia tuu.
Absolutely true bro! Nimepapenda sana hapo kwenye exchange Guadiola aje kwetu na Mou aende kwao,hakika wachezaji Hawa hawa kina Rashford watauwasha moto hadi tushangae. Mou hata talent ya Reloy Sane asingeiona.Unataka wasajiliwe wachezaji gani?
Giggs alishauri Jesus wa Mancity asajiliwe akapigwa chini ...
Manchester united ni moja ya top spenders barani ulaya, cash inayotolewa ndio inayosajili hao wakina Linderlhof n.k Leo unakuja kusema team INA wachezaji wa kawaida , nani alaumiwe kocha anaewasajili au nani ????
Amini nakwambia Mourinho Leo akipewa Manchester city na wachezaji wale wale timu itapotea na Guardiola akipewa timu yetu utashangaa maajabu...
Unasema Rashford ni mbovu ila nakuhakikishia ,miongoni Mwa super talent academy ya Manchester imewahi kutoa ni huyu Dogo trace back kuanzia debut yake EUROPA chini ya Van Gal.
Problem ni Kocha Wetu formation ya kupack mabasi inawakosesha "Football rhythm" wachezaji Wetu ambao ni Driblers, mwisho wa siku tunawaona wabovu. Rashford ni kiberenge kama Sterling,Pedro au Mane , hawa timu ikipack basi utawaonea huruma....
Imagine rashford angekuwa chini ya Guardiola anaeamini kwenye attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
Kupack basi ni simu kwa baadhi ya wachezaji , mikhtaryn ni mfano mzuri.
Mkuu hata kabla haujaenda kwa akina psg,man city na vigogo wengine kwenye matumizi ya pesa,hawa huddersfield tu wametutoa jasho kwenye game ya leo pamoja na uwekezaji wetu. Tatizo la Mou anaamini sana katika ulinzi utadhani alikuwa mwanajeshi.
Sare inasaidia nini? Umetoka kujikomba kwa chelsea kule dua lako halikufanikiwa umeamua kuja kushusha hasira hapaWatakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville
Ile dua inakamilika kwako leoSare inasaidia nini? Umetoka kujikomba kwa chelsea kule dua lako halikufanikiwa umeamua kuja kushusha hasira hapa
Leo tunashinda vizur tu ila mkuu usisahau nafasi uliyopo nae mtibwa sugar yupo hiyo nafasi.Ile dua inakamilika kwako leo
Tukishinda iwe mara ya mwisho kuonekana huku.Watakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville
Sare inasaidia nini? Umetoka kujikomba kwa chelsea kule dua lako halikufanikiwa umeamua kuja kushusha hasira hapa
Huwa napenda kumuona shaw namba 3kama lingard na young hawaanzi leo tunshinda