Kusema ukweli JM sijui anang'ang'ania nini na smalling + young * martial. Martial bado hajakua anazingua sana, kwanini young aanze wakati Shaw anapiga mpira mzuri sana na ndo natural left back?. Pacha ya smalling na jones haina nguvu kabisa smalling anakaba kama anacheza chandimu lakini JM ndo utamwambia nini akuelewe.
Mfumo wa JM mbovu sana, Lukaku anahangaika mipira haifiki ipasavyo, alafu kuna raia wanamlaumu striker kama Lukaku kweli? .Ninachoona JM anaonesha kiburi tu anajua kama fans wote wanataka Pogba acheze as free prayer tuone ukali wake ila yeye sasa anavyodefend maana ya box to box anajua mwenyewe, akiendelea hivi kiwango cha Pogba kitashuka sana yani anamlazimisha kufanya majukumu yanayomzidi kimo mfano angalia tukicheza na watabe au viungo mahiri. Leo Shev anakamata kiungo kama vile yupo mazoezi vile.
JM ana stress sana hata maamuzi yake ya ghafla ghafla anaweza akakaza kufanya sub tukipigwa goli anaita mchezaji wowote yule lazima joto la jiwe tulisome kama asipobadilika.
Tunasapoti timu katika kila khali lakini ukweli usemwe kuna watu wanatuangusha either direct or indirect:
1. JM
2. JM
3. JM
4. Smalling
5. Young
6 Martial kazidi utoto
Weka mata tucheze mpira Lingard anaruka ruka tu uwanjani kuna game anapotezwa kabisa.SIKU MBAYA SANA LEO, ANGALAU MNYAMA KAUNGURUMA TAIFA.
GGMU
Mkuu,,
Kakipigo kameumiza sana haka,,
Mara mia mbili nifungwe na Kun, Kane, Messi, Neymar, Isco ila sio kna nani sjui...
Wengne tupo mbali na TV...
Ila basing on mitandao na outcome,,
Namba 1,2,3 hapo juu ndio mchawi mkubwa kwa timu...
Namheshimu Josee 'Special One' kama mwanadamu mwenye uthubutu,,
Nayaheshimu pia mafanikio yake,, ni kocha bora na wa kipekee sana
Ila,,, Zama zmempita,, bahati mbaya sana ypo ligi moja na Pep,,
Hata mzee Carlo kachemka Munchen si kwamba ni mmbaya ila ndio hivo mambo hayakwenda kama yalivotarajiwa,..
Ni aibu na fedheha kwa kocha kununua wachezaji kibao then wakushinde kuwatumia... Mkhi,, Double P wa juve ndie ambae tnamtaka,,, yle hata hyu mchawi mpya wa ligi angeonekqna cha mtoto,, Victor Linderleof,, plus the beast Lukaku..
Ingekua kwetu tungesema viongozi ndio wamewaleta hayakua mapendekezo ya Mwl.
Ni aibu Mata kuozea benchi,,
Ni aibu Herrera kukosa namba Man Utd kwa mpira wa sasa ulimwenguni..
Inaonekana hata Alexis ndoto za mataji ztampita mbali kwa mwendo huu..
Misimu miwili no First Eleven???
16 pts gape bado tunasema amebadili mambo mengi?? Na tmu ina ushindani??
Lets assume Spurs,, Liver,, Chel, na Asenal wangekua katika best form.. Tungekuwa wap kwa sasa??
NB: Wakuu Namheshimu sana JM kama mwanadamu mpambanaji asieogopa changamoto,,,
Nayaheshimu sana mafanikio yake..
Simaanishi ni kocha mbaya
Ila huenda hana bahati Manchester United
Moja ya kazi za ndoto yake...
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]



