Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


waangalie vizuri wasilete ushabiki

Hili goli la wazi kabisa hata mimi nafunga...msitetee upupu hapa alichosita kupiga nini alipatwa na maruweruwe au mzimu wa wenger ulimjia.....anapata tabu huyu jamaa dah na nina uhakika kule arsenal angecheza sana maana alikuwa amezungukwa na mafundi ila hapa atatundika daluga mapemaaaaaaaaaaa maana waliomzunguka ni utoto na ushubwada mtupu kina martial hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hili goli la wazi kabisa hata mimi nafunga...msitetee upupu hapa alichosita kupiga nini alipatwa na maruweruwe au mzimu wa wenger ulimjia.....anapata tabu huyu jamaa dah na nina uhakika kule arsenal angecheza sana maana alikuwa amezungukwa na mafundi ila hapa atatundika daluga mapemaaaaaaaaaaa maana waliomzunguka ni utoto na ushubwada mtupu kina martial hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Maneno ya kishabiki tu kwani huko ARSENAL ALIKUWA AKOSI MAGOLI
Anafunga kila mechi
 
Newcastle jana walicheza mpira swafi kabisa walikuwa wanapiga pasi zinaonekana na wala hawakupaki basi timu ilikuwa inasogea mbele inaonekana ..........
 
Hizo hela hawezi kulipwa hapa tunapingana na mbinu za mourinho ktk baadhi ya mechi na kumtetea pogba ila kuna muda kiungo unatakiwa uwe unacheza sehemu yoyote kwa pesa aliyonunuliwa na mshahara haiwezekan kiungo ucheze namba moja tu kwa mfano mata alipoingia alifanya vitu vingi sana kwa muda mfupi sasa kama kiungo huna mbinu za kujilinda ni shida tunamtetea pogba hatutak muda wote kuzuia ila na yy ni mvivu kujifunza kuzuia labda wataalamu watuambie box to box midfielder anakuaje
Box to box ni kama Artulo Vidal yule aliyemfanya pogba ang'ae juventus
 
Mimi ndio nimeuliza swali, naomba majibu kwanza ndio uulize swali lako!!
Swali nililokuuliza ndio jibu lako. Jana tumecheza na double number 6 ( matic na Pogba ) ... Lingard alikuwa false number 8.... Alexis Sanzez alikuwa namba 11 ila hakuwa natural namba 11... Muda Mwngi upande wa winga ya kushoto alikuwa anacheza Ashley young kama WING BACK ( beki wa kupanda na kushuka).



Una lingine ????.
 
Pogba ni mzuri akipiga 10 hakika,ila chini yake wawepo watu wa maana ,kumbuka juve kulikuwa na watu mfano pirlo na vidal ila hapo dah mtamlaumu sana........wacha KDB aupige mwingi hivi unajua shughuli inayopigwa na kina FERNANDINHO pale chini?unaachaje kung'aa kwa mfano?
 
Pogba ni mzuri akipiga 10 hakika,ila chini yake wawepo watu wa maana ,kumbuka juve kulikuwa na watu mfano pirlo na vidal ila hapo dah mtamlaumu sana........wacha KDB aupige mwingi hivi unajua shughuli inayopigwa na kina FERNANDINHO pale chini?unaachaje kung'aa kwa mfano?

Mi hapo ndo nnapochokaga kiungo hadi tumnunulie watu wa kumsaidia ili ang'ae shida ipo mahali sasa atatengeneza vipi ufalme wake? Ukiwa umesajiliwa kwa mapesa mengi kuna Muda unatakiwa kuibeba timu haijalishi mazingira gan tukirud kwenye mpira tuweke pembeni ushabik.
 
Hili goli la wazi kabisa hata mimi nafunga...msitetee upupu hapa alichosita kupiga nini alipatwa na maruweruwe au mzimu wa wenger ulimjia.....anapata tabu huyu jamaa dah na nina uhakika kule arsenal angecheza sana maana alikuwa amezungukwa na mafundi ila hapa atatundika daluga mapemaaaaaaaaaaa maana waliomzunguka ni utoto na ushubwada mtupu kina martial hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa

Ndugu hilo goli ni gumu alishakuwa kwenye angle kufunga hapo ni bahat tu ila la martial ndo goli la wazi alikuwa anaona na kipa alex alishatoka pembeni kwa macho upo vizur hizo goli ungefunga nyingi sana ungebeba viatu vya dhahabu kila uchwao
 
Back
Top Bottom