Hiyo account fake.
Hii Twitter ya asubhi hii hata sijaielewa
Je anaitajika midfield wa namna hii kama huyu jezi namba 8 Jorginho wa Napoli kwa sasa katika kikosi cha Manchester United
Duuh uyu dgo iyo mi pass ni hatari
Lakini watu wa kariba yake tunao watatu sasa pale,aende asnoo tutamnunua huko
Wataalamu huko ulaya wanasema takwimu zinaonyesha kwamba ukuta wetu upande Wa beki c mzuri sana ila maajabu ya De tea ndio tunayoyatembelea hadi sasa. Naona kuna ukweli flanimara ya mwisho kwa manchester united kufungwa goli ilikuwa ni siku ya boxing day kwenye mechi dhidi ya burnley, inamaana manchester united wametimiza mwezi mzima bila ya kufungwa goli lakini kuna watu bado hawaioni kazi ya mourinho.
mimi binafsi kwa sasa ninapoangalia mpira wala siwazi eti ni mlinzi gani ataanza kwenye kikosi cha kwanza, akianza smalling, lindeloaf, rojo,blind,jones,tuanzebe,bailly wote kwangu mimi ni sawa.
happy birthday jose mourinho, mwanadamu asiyeishiwa maneno
"The reality is that we sell newspapers and without Manchester United the industry would be in trouble, so that’s also part of being in such a club.”
Eeeeeh unasemaaaa!!Nadhani hii tabia ya kumuweka Martial benchi ikiendelea hivi, 4G zitaendelea kwa kipindi kirefu. Nilisikia Arsenal wanataka kumchukua, si wamchukue mapema
MobdroNaomba msaada wenu mwenye kuifahamu app mzuri ya ku-stream mechi za soka live!
Wataalamu huko ulaya wanasema takwimu zinaonyesha kwamba ukuta wetu upande Wa beki c mzuri sana ila maajabu ya De tea ndio tunayoyatembelea hadi sasa. Naona kuna ukweli flani
Wataalamu huko ulaya wanasema takwimu zinaonyesha kwamba ukuta wetu upande Wa beki c mzuri sana ila maajabu ya De tea ndio tunayoyatembelea hadi sasa. Naona kuna ukweli flani
Wataalamu huko ulaya wanasema takwimu zinaonyesha kwamba ukuta wetu upande Wa beki c mzuri sana ila maajabu ya De tea ndio tunayoyatembelea hadi sasa. Naona kuna ukweli flani
Waite pundits na sio wataalamu...mtaalamu n mwalimu kashata tu ha ha ha lolWataalamu huko ulaya wanasema takwimu zinaonyesha kwamba ukuta wetu upande Wa beki c mzuri sana ila maajabu ya De tea ndio tunayoyatembelea hadi sasa. Naona kuna ukweli flani