Atashiriki kama kawaida kwa vile hakuwa anashiriki UCL. Ila alikuwa kwenye 'ndondo cup' ile uefa ndogo.Alex Sanchez vipi atashiriki Champions League msimu huu akiwa na Manchester united au itabidi asubiri mpaka next season. ? naomba kujuzwa wakuu.
Hapana, Sanchez atavaa jezi namba saba kwakua kwenye michuano ya uefa ile jezi haikuvaliwa na mchezaj yoyote wa man u,ila Micky kule Europa hatovaa jezi namba saba kwakua alishaitumia SanchezAtashiriki kama kawaida kwa vile hakuwa anashiriki UCL. Ila alikuwa kwenye 'ndondo cup' ile uefa ndogo.
Ila kwenye uefa hatovaa jersey namba saba.
Mkuu sijakosea..zile spidi, mashuti na commitment uwanjani anayoionesha Rashford halafu anawekwe bench na huyo roho huwa inaniuma sana. Martial hana control nzuri ya mpira akikimbia na mpira unamgongagonga miguuni na kuishia kuuacha nyuma, muangalieni kwa makini. Sisemi sana tusubiri mechi ya keshokutwa na Spurs mmesema ndio kapumzishwa ili akapambane pale na Aurier mtarudi hapa kujuta.
nyie lazima tuwashushe hakuna namna ...mna timu mbovu sanaaIla ndo giant wa epl
Pep Guardiola Claims Man City Must Win More Trophies to 'Become as Big as Man Utd or Liverpool'
Kwa nini sio CHELSEA? ndo mana mnahangaika kutushusha ili tufanane.
Labda crouch na caroll waje kuwasaidianyie lazima tuwashushe hakuna namna ...mna timu mbovu sanaa
Chalii kazidi uchoyo bana, hayuko kwenye position nzuri kufunga ila Ana shoot tu badala atoe pass kwa aliyeko kwenye position nzuriKwan hajui anachokifanya si kila mechi anakosesha watu ushindi aambiwe tu wazi ajirekebishe
Siku chelsea akishinda mechi ndo unaamua kukesha humu uwe unakuja na siku nyingine you cowardnyie lazima tuwashushe hakuna namna ...mna timu mbovu sanaa
Thanks. For correction.Hapana, Sanchez atavaa jezi namba saba kwakua kwenye michuano ya uefa ile jezi haikuvaliwa na mchezaj yoyote wa man u,ila Micky kule Europa hatovaa jezi namba saba kwakua alishaitumia Sanchez
Itakuwa ya kutengeneza hii.
Hii Twitter ya asubhi hii hata sijaielewa
After securing Alexis Sanchez, Jose Mourinho and Manchester United have now turned their attention towards securing the services of Nice's Jean Michael Seri. The Red Devils are confident of completing a deal this week after knowing that Seri can leave for a fee far less than his market value this month.
Hii Twitter ya asubhi hii hata sijaielewa
Mzee wa chelseaBondia anampiga mgonjwa afu anafurahi